Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Last game Morinyo kagombana na Eva anasema Hazard alikuwa hajaumia alichoka,
Magoli mengi yanapitia kwa Ivanovic huyu ndio no 2 karibia misimu 5 unategemea kiwango kitakuwa sawa?
Leo mara ya kwanza Jose anamtoa Terry na hajaumia.
Mnahitaji msaidizi wa JT, Msaidizi wa Azpi, Msaidizi wa Ivanovic otherwise kazi mnayo

Aisee Leo najibu hoja nyepesi nyepesi tu ukitaka niende deep sn nisubiri kesho
 
Come close my dear,let me hug you......najua hali yako ni mbaya sana ila unajikaza kiume kuwa hapa....... Take it easy.....

Here I come my......give me your nice hug dear!

Hali yangu iko buheri kabisa Kwasababu najua tunachofanya!
 
Last game Morinyo kagombana na Eva anasema Hazard alikuwa hajaumia alichoka,
Magoli mengi yanapitia kwa Ivanovic huyu ndio no 2 karibia misimu 5 unategemea kiwango kitakuwa sawa?
Leo mara ya kwanza Jose anamtoa Terry na hajaumia.
Mnahitaji msaidizi wa JT, Msaidizi wa Azpi, Msaidizi wa Ivanovic otherwise kazi mnayo

Sijaelewa mantiki ya kumuacha Luiz Filipe kabisa
 

Attachments

  • 1439752629480.jpg
    1439752629480.jpg
    11 KB · Views: 152
  • 1439752659874.jpg
    1439752659874.jpg
    6.2 KB · Views: 151
  • 1439752685042.jpg
    1439752685042.jpg
    47.1 KB · Views: 150
  • 1439752753654.jpg
    1439752753654.jpg
    49.4 KB · Views: 151
Mwanamke nimeumbwa na moyo wa huruma Leo sitacheza kigodoro Bali nitaomboleza uwiiiiiii hiki si kichapo ni msiba jamani, owiiiiiiiiii poleni sana wandugu tuliwapenda sana mabingwa wetu lakini Man City wamewapenda zaidi,woiiiiiiiiiiiiiiiii pumzikeni kwa amani The bluuz........poleni sana wapenzi wangu Ntuzu kalou ENZO Mentor MEANDU Manumbu b5-click na #AllTheBlues

tantee mdada!' yaani kati ya wote, wewe kidogo ndio unajielewa ............
 
Last edited by a moderator:

2B6ABCD900000578-3200075-image-a-20_1439745794038.jpg



Kuna jamaa wamevunja daraja khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Last game Morinyo kagombana na Eva anasema Hazard alikuwa hajaumia alichoka,
Magoli mengi yanapitia kwa Ivanovic huyu ndio no 2 karibia misimu 5 unategemea kiwango kitakuwa sawa?
Leo mara ya kwanza Jose anamtoa Terry na hajaumia.
Mnahitaji msaidizi wa JT, Msaidizi wa Azpi, Msaidizi wa Ivanovic otherwise kazi mnayo

Speed aliyoionyesha Ivanovic misimu miwili mitatu iliyopita imeyeyuka kama barafu juani. Anyway ni mechi mbili zimeshachezwa ligi haisomeki mwanzoni, tusibiri baada ya mechi 7 au 10 hivi ndio tuje kusema.
 
Ata mwaka huu Ni wetu

Asante sn Mkuu
Wewe kweli afya yako haina mgogoro.

Mou anasema "the results are fake!" Je dugu Ntuzu unaichukuliaje hii kauli ya mpayukaji?

Na pre-season inaisha lini? Chelsea waliichukulia hii mechi kama mechi ya kirafiki?

Au muziki ilikuwa ile muziki muneneee leo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom