Mwanamke nimeumbwa na moyo wa huruma Leo sitacheza kigodoro Bali nitaomboleza uwiiiiiii hiki si kichapo ni msiba jamani, owiiiiiiiiii poleni sana wandugu tuliwapenda sana mabingwa wetu lakini Man City wamewapenda zaidi,woiiiiiiiiiiiiiiiii pumzikeni kwa amani The bluuz........poleni sana wapenzi wangu Ntuzu kalou ENZO Mentor MEANDU Manumbu b5-click na #AllTheBlues
hivi umemuona costa leo au?
haituumi just a friend match subirini ligi ianze ndio mtuzomee
Leo ni msiba ndugu yangu hakuna kigodoro ,owiiiiiiiiiiiiiiii uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii The bluz