Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

wenyeji wamekimbia humu.na haya mashambulizi,wajitahidi kutoka suluhu.wakifungwa,itakuwa vizuri lakini.wanaua mido na kuweka ukuta.
 
Wewe na ENZO mna panick!

Chelsea kwa sasa ni timu kubwa kuliko Man utd....heri historia ya msimu uliopita kuliko historia ya miaka 47. Na msimu huu mkishika top three tu nitakununulia jezi mpya ya man utd...original yani!!!!!

😝😝 habari yako Ayew
 
Last edited by a moderator:
Point moja inatutosha sisi chelsea ligi bado haijachanganyia na falcao hayupo kwenye viwango vyake hahahaga

Bora kupewa Goli na kutoka na point tatu kuliko kupewa Goli na ukapata point moja.......hahahahaha wapi ENZO Mungu mzuri huyu jamani acha tu mmetuponda weeeee tumepewa goli haya nanyi mmepewa wapi sasa point 3? Hahahahhahhahhahahhahahahhah!!!!!!!! Watu weweweeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1439058734304.jpg
    1439058734304.jpg
    24.7 KB · Views: 142
Bora kupewa Goli na kutoka na point tatu kuliko kupewa Goli na ukapata point moja.......hahahahaha wapi ENZO Mungu mzuri huyu jamani acha tu mmetuponda weeeee tumepewa goli haya nanyi mmepewa wapi sasa point 3? Hahahahhahhahhahahhahahahhah!!!!!!!! Watu weweweeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!

Oyoooooooooooo hahahahaaaa ENZO kajikunyata ameshasinzia na maumivu rohon tehe teheee nimefurahi balaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Pole kwa mpenzi wangu wa moyo Ntuzu relax hope bado tuko preseason. ...... ohhhh!!! Mcharo baba aka my Mentor njoo tuchambue soka kama kule MU......kwa dhati kabisa mtu wangu wa nguvu kalou cool down, wapi kipenzi b5-click?? Nimekumiss?.........
 
Last edited by a moderator:
Ivanovic kageuka juma abdul leo, jonjo kaoa kiungo kizima cha wapark bus
 
  • Thanks
Reactions: Nzi

Similar Discussions

Back
Top Bottom