Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hahahaaaa Ntuzu ameniambia nisicheze kigodoro ila nisuport the blue flag iweze kufly high hahahaaaaa... everlenk now hamna cha KTBFFH

Mummy yaani hawa wameniaibisha acha tu......halafu Arse8 Hawana hela ya kutukodi tuwachezee kigodoro humu wangekoma Mbonaa?????
 
Last edited by a moderator:
Nani hao "Wameshinda"?
Ile dugu yangu Ntuzu bado iko hapa?

Nimeangalia jukwaa hili mmegeuza jukwaa "mapenzi", mamito, usiniache nk.

Matayarisho ndio yamekamilika leo, sasa tinasubiri kuona Hazard akifanya judo art yake!

Na tabia ya wachezaji wa Chelsea kulia lia na kumzunguka mwamuzi wataacha lini?

Hata mechi ya ngao pia wanamzunguka mwamuzi?

Na yule kapucheta(Azpilicueta) alimkunja shati Chamaberlain kama ameshika kibaka.. Alifikiri anacheza mieleka?

Hii isiwaume badugu. Bado mnashikia kombe la EPL, hiki kiini macho cha Wenger Who? iwe ni changamoto tu.

Dahhh!!! Siku nyingi sana bro tangu tumekuwa mabingwa sikuona post zako washukuriwe San arsenal Leo wamekuleta maana ile pre season tulipopigwa na redbull hukuja, nachokupendea we huwa unaangalia wachezaji Wa Chelsea wakicheza foul tu. Karibu sn mkuu
 
Hahahaaaa kwani mkuu join date ina tatizooo?
Watu humu wana id kila jukwaa ujue. Akitaka ku act kama man u anatengeneza id akitaka kama chelsea anatengeneza id.
Yaan hawa wageni ni wabaya kuputa maelezo.
Cc. DONNGO

Nilikuwa sijui...
 
Last edited by a moderator:
Mentor ana roho ngumu...yaani kuitwa kote huku kagoma...

Huyu ndo atanifanya nirushe zile picha humu wakati sina hata nia, mwambie namtafuta sana.....halafu mwambie Ntuzu apokee basi simu....😀😀😀, najua wanasoma comment zangu as a guest. ...........lol
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa kwani mkuu join date ina tatizooo?
Watu humu wana id kila jukwaa ujue. Akitaka ku act kama man u anatengeneza id akitaka kama chelsea anatengeneza id.
Yaan hawa wageni ni wabaya kuputa maelezo.
Cc. DONNGO

Haha haha Leo upo na wazee wa kuchapwa chels
 
Last edited by a moderator:
Nilichojifunza leo ni kuwa dawa ya chelsea sasa ivi ukitangulia kuwafunga kwisha habari yao, silaha yao last season ilikuwa ni kutangulia kukufunga alafu wanapark bus uku wakikuvizia kwa mashambulizi ya kushtukiza, 😄😄😄 kwisha habari yao
 
Hahahhahahahhaahha!!!! Tatizo Arse8 Hawana hela za kutulipa tungeliungurumisha humu si mchezo........pole best yangu take it easy its just a friendly match.....naomba unisalimie sana Mentor najua humu ataonekana kesho kutwa mwambie aje na zile katuni zake azirushe humu asipofanya hivyo nitazirusha... Viol mwambie nimemiss...... b5-click kipenzi take it easy..... Ntuzu ooooh!! Sweet forgive me for what i did........ ENZO nakupa Hi... haya vibabu kina nani sasa? hahahahaha

Waaiiii hata haiumi kombe gani limekaa kama sahani za shule, sasa ase88 wameshinda kombe au msahani?!. hi to you too dada akee everlenk .......... tusubiri msimu uanze vibabu vitajulikana tu.
 
Last edited by a moderator:
mimi naongea ukwel angalia thread zote humu za soka zimeanzishwa lini utagundua kwa timu za ulaya hii ya chelsea ndio iliyochelewa kuanzishwa
humu jf Kwan imeanzishwa ni kama mwaka 2009 kasoro mwez mmoja Wakat ukiangalia za liver man u arsenal n.k ni za long time na hii ni dhahir mashabik wa chelsea wameanza ijua jf mwaka 2009 NI HAYO TU POLENI.KWA KIMOJA KWAN KINAUMA SAAANA

Jf imeanzishwa 2006 so hizo liver+man+arsenal fans walikuwa wana discuss jf ipi???? Me nnayoijua ya maxenze melo formed in 2006, then ww ume join feb 2015, au una multiple id's???? Chelsea ndo team ya 2 kuwa na mashabiki england and #4 world wide, ingia google uone if english isn't u'r problems
 
Jf imeanzishwa 2006 so hizo liver+man+arsenal fans walikuwa wana discuss jf ipi???? Me nnayoijua ya maxenze melo formed in 2006, then ww ume join feb 2015, au una multiple id's???? Chelsea ndo team ya 2 kuwa na mashabiki england and #4 world wide, ingia google uone if english isn't u'r problems

haya mambo mengine hayana haja ya takwimu.ila ni.kutumia elimu ya kuzaliwa hv wewe chelsea uliyekaa miaka 55 bila kombe lolote na miaka zaid ya mia bila kupat uefa had drogba alipokusev leo hii wasema wewe kidunia wanne yani unajisifu kuwa umepitwa na man u madrid barca Sasa wewe waweza jifananisha na liver acmilan.bayern labda hao wakubwa saana yani weee type yako ya Newcastle na aston vila na ndio mana torres mwez uliopita alisema katika kosa alilolifanya kama mwanasoka ni kuhamia chelsea sababu mashabik wake wameanza shabikia mpira 2005 na haya ndio matokeo yake ninayoyaona hata mie watz
 
Niko mbali mrs. Mcharo wangu everlenk siez kimbia. Nimeumia tu Wenger kufuta uchumba kwetu. Inabidi tuanze upya kumlipia mahari.

Sasa Mcharo wangu ndo umesign in fasta na ukasign out dakika hiyo hiyo ndo nini?,naskia eti sasahivi EPL mtaikabidhi kwa Wenger....ndo safari ya matumaini washaanza....
 
Last edited by a moderator:
Nani hao "Wameshinda"?
Ile dugu yangu Ntuzu bado iko hapa?

Nimeangalia jukwaa hili mmegeuza jukwaa "mapenzi", mamito, usiniache nk.

Matayarisho ndio yamekamilika leo, sasa tinasubiri kuona Hazard akifanya judo art yake!

Na tabia ya wachezaji wa Chelsea kulia lia na kumzunguka mwamuzi wataacha lini?

Hata mechi ya ngao pia wanamzunguka mwamuzi?

Na yule kapucheta(Azpilicueta) alimkunja shati Chamaberlain kama ameshika kibaka.. Alifikiri anacheza mieleka?

Hii isiwaume badugu. Bado mnashikia kombe la EPL, hiki kiini macho cha Wenger Who? iwe ni changamoto tu.

Teh teh teh teh

Dooooooh wajameni. Imekua habari ya mujini! Maana naona Leo mpk Nonda kaja?!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Sasa Mcharo wangu ndo umesign in fasta na ukasign out dakika hiyo hiyo ndo nini?,naskia eti sasahivi EPL mtaikabidhi kwa Wenger....ndo safari ya matumaini washaanza....

Hamna hicho kitu! This was just like pre season game! Just hang on and you will see the real BPL. No game to lose my dear everlenk
 
Last edited by a moderator:
Waaiiii hata haiumi kombe gani limekaa kama sahani za shule, sasa ase88 wameshinda kombe au msahani?!. hi to you too dada akee everlenk .......... tusubiri msimu uanze vibabu vitajulikana tu.

Mhhh!!! Kichapo kichapo tu haijalishi cha wapi........linaheshima yake ati!!! Tusiwaonee wivu arse8 mweee !!!!......Mimi mzima kakangu......naona shida ya striker ipo nanyi.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom