the say
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,774
- 3,369
Not a foul. Matic ndio alimfata jamaa, jamaa alikuwa na mpira na wakati anapiga mpira Matic alijileta full force wakati jamaa yuko katika move ile ya kuondoa mpira. Ndio sababu mwamuzi hakutoa adhabu, sio kwa sababu hakuona. Wachezaji wa Chesea wangemzonga mwamuzi kama kawaida yao basi Barnes angepewa yellow. Lakini kama umeangalia basi hivyo ndivyo ilivyokuwa.
Haya Mr bradford