Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mhhh!!! Kichapo kichapo tu haijalishi cha wapi........linaheshima yake ati!!! Tusiwaonee wivu arse8 mweee !!!!......Mimi mzima kakangu......naona shida ya striker ipo nanyi.

Hakuna shida ya striker kwasababu hatutegemei strikers kufunga wao km wao.
 
Hamna hicho kitu! This was just like pre season game! Just hang on and you will see the real BPL. No game to lose my dear everlenk

Ahhh!!! Wapi!!! Safari hii mnalo...Tupo wengi......endeleeni kuyajaribisha matairi yenu.
 
Last edited by a moderator:
haya mambo mengine hayana haja ya takwimu.ila ni.kutumia elimu ya kuzaliwa hv wewe chelsea uliyekaa miaka 55 bila kombe lolote na miaka zaid ya mia bila kupat uefa had drogba alipokusev leo hii wasema wewe kidunia wanne yani unajisifu kuwa umepitwa na man u madrid barca Sasa wewe waweza jifananisha na liver acmilan.bayern labda hao wakubwa saana yani weee type yako ya Newcastle na aston vila na ndio mana torres mwez uliopita alisema katika kosa alilolifanya kama mwanasoka ni kuhamia chelsea sababu mashabik wake wameanza shabikia mpira 2005 na haya ndio matokeo yake ninayoyaona hata mie watz

Unamaanisha hii?
 

Attachments

  • 1438569177366.jpg
    1438569177366.jpg
    51.1 KB · Views: 91
Waaiiii hata haiumi kombe gani limekaa kama sahani za shule, sasa ase88 wameshinda kombe au msahani?!. hi to you too dada akee everlenk .......... tusubiri msimu uanze vibabu vitajulikana tu.

chelbus bana mnaniachaga hoi na utetezi wenu hahahaaa
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom