Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Done..!! Wameshinda
Nani hao "Wameshinda"?
Ile dugu yangu Ntuzu bado iko hapa?

Nimeangalia jukwaa hili mmegeuza jukwaa "mapenzi", mamito, usiniache nk.

Matayarisho ndio yamekamilika leo, sasa tinasubiri kuona Hazard akifanya judo art yake!

Na tabia ya wachezaji wa Chelsea kulia lia na kumzunguka mwamuzi wataacha lini?

Hata mechi ya ngao pia wanamzunguka mwamuzi?

Na yule kapucheta(Azpilicueta) alimkunja shati Chamaberlain kama ameshika kibaka.. Alifikiri anacheza mieleka?

Hii isiwaume badugu. Bado mnashikia kombe la EPL, hiki kiini macho cha Wenger Who? iwe ni changamoto tu.
 
nilishasema humu hakuna mshabik wa chelsea tangu 2004 alaf nisikie tena mnfananisha neymar na panya hazard ni kosa la jana jinai kwan hazard ni levo za depay na.penado Poleni kwa kipigo
 
Naona Hazard keshajaa misifa leo hajaonekana kabisaaaaa....
Mo alifanya kosa kumruhusu Huyu jamaa aende Arsenal bora wangemuuza hata bure kwa stoke au simba
 
Nani hao "Wameshinda"?
Ile dugu yangu Ntuzu bado iko hapa?

Nimeangalia jukwaa hili mmegeuza jukwaa "mapenzi", mamito, usiniache nk.

Matayarisho ndio yamekamilika leo, sasa tinasubiri kuona Hazard akifanya judo art yake!

Na tabia ya wachezaji wa Chelsea kulia lia na kumzunguka mwamuzi wataacha lini?

Hata mechi ya ngao pia wanamzunguka mwamuzi?

Na yule kapucheta(Azpilicueta) alimkunja shati Chamaberlain kama ameshika kibaka.. Alifikiri anacheza mieleka?

Hii isiwaume badugu. Bado mnashikia kombe la EPL, hiki kiini macho cha Wenger Who? iwe ni changamoto tu.

wamshinda COMMUNITY SHIELD...

wale wa KIGODORO karibuni ,, everlenk na cute b leo itabidi mkeshe humu...
 
Unakumbuka ule msemo wa "mbichi hizi"?
Hizi sabibu iko bichi!! Sipendagi sabibu mbichi.

Mlienda kufanya nini Wembley?

naona kama umechukia kuliko sisi... cool down mkuu
 
Naona Hazard keshajaa misifa leo hajaonekana kabisaaaaa....
Mo alifanya kosa kumruhusu Huyu jamaa aende Arsenal bora wangemuuza hata bure kwa stoke au simba
Umemsahau Fabregas??
Wacheni kulia lia.

Na bado "majogoo" inamsubirini.

Na baby girl ana hasira mmemchukua Fokolao (Falcao).
 
Wewe umechukia ? Umechukia nini? Kwa nini umechukia?
Mechi ya mpira ina matokeo aina ngapi?

wmeshinda COMMUNITY SHIELD back to back.... mjiandae na ze gunners msimu huu...utakuwa MWAKA WAO
 
nilishasema humu hakuna mshabik wa chelsea tangu 2004 alaf nisikie tena mnfananisha neymar na panya hazard ni kosa la jana jinai kwan hazard ni levo za depay na.penado Poleni kwa kipigo

Aiseee!!! Wewe kiboko umeshawageuka.....
 
kama BARCELONA tu ...tatizo hizi TREBLE ziko SPECIAL ..


11825968_1521578291215715_4685346713738626253_n.jpg
 
wamshinda COMMUNITY SHIELD...

wale wa KIGODORO karibuni ,, everlenk na cute b leo itabidi mkeshe humu...

Hahahhahahahhaahha!!!! Tatizo Arse8 Hawana hela za kutulipa tungeliungurumisha humu si mchezo........pole best yangu take it easy its just a friendly match.....naomba unisalimie sana Mentor najua humu ataonekana kesho kutwa mwambie aje na zile katuni zake azirushe humu asipofanya hivyo nitazirusha... Viol mwambie nimemiss...... b5-click kipenzi take it easy..... Ntuzu ooooh!! Sweet forgive me for what i did........ ENZO nakupa Hi... haya vibabu kina nani sasa? hahahahaha
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom