Haha haha haha Me simo uko utapigwa peke yako
Hahahaaaa mimi sipigwi
Haha haha haha Me simo uko utapigwa peke yako
kwenye ubora wako
Hahahaaa sanaaaaaa.Yaani Arsenal kushinda kuna kamtu hapa kanafurahi kweli cute b
Ulieandika hiyo hapo juu naomba uliza kati ya chelsea na arsena ipi inamashabiki wengi duniani chelsea ya pili kwa england na ya nne dunia
Let the season begin...
haya mambo mengine hayana haja ya takwimu.ila ni.kutumia elimu ya kuzaliwa hv wewe chelsea uliyekaa miaka 55 bila kombe lolote na miaka zaid ya mia bila kupat uefa had drogba alipokusev leo hii wasema wewe kidunia wanne yani unajisifu kuwa umepitwa na man u madrid barca Sasa wewe waweza jifananisha na liver acmilan.bayern labda hao wakubwa saana yani weee type yako ya Newcastle na aston vila na ndio mana torres mwez uliopita alisema katika kosa alilolifanya kama mwanasoka ni kuhamia chelsea sababu mashabik wake wameanza shabikia mpira 2005 na haya ndio matokeo yake ninayoyaona hata mie watz
Arsenal kumuotea mara 1 mbabe wenu ndo mnajisifuuu,... subirini kivumbi cha epl tutakavyowatimulia... jana mpira tumepga mwingi tu ila bahati haikuwa yetu