Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huo uwezo watoe wapi?

Arsenal wangependa kushinda lakini uwezo hawana.

Watajitahidi kupunguza idadi ya magoli.

Watajitahidi kupunguza idadi ya magol kama sisi siyo eeh???

Shauri yenu Wenger sikuhizi kawa mtamu mcharo haoni ndani.... Ile kasi ya wale watoto sijui?? Labda mtumie unazi wenu....... Lol kunguru mjanja ameshaniahidi hata kwa njia za panya watashinda...
 
Last edited by a moderator:
Hakuna washabiki wanajiamini kwa tambo na mbwembwe kama nyinyi lol, yaani wewe, Ntuzu, Mentor, Manumbu, b5-click na kunguru mjanja ni kwere asee
Ila match ya Arsenal sijui kama mtatoka salama

Hawana lolote ,wote hawa mbele ya sport lady walikuwa kama mlenda fujo zote kwasababu tu wameifunga The United ,The King of England..... Hahahaha ngoja warushe mawe sasa...........
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha!!!! Kwajins mlivyonitesa omba kikombe hicho mkiepuke...... Nitakuwa Ars kwa uhamisho wa bure kabisa nikiliongoza jahaz mm mwenyewe.

we mwanakwetu una ndoto wewee. ila nakupendea hilo...fantasy! kwa fantasy watu hujenga maghorofa huku wakilala kwenye mafuriko kama ya pale jangwani!!!
 
binafsi bado naumizwa na kitendo cha kutokuwa sisi tunaocheza na Barca. imagine tungekuwa tumecheza na Barca J5 iliyopita darajani. kisha Man u wkend iliyopita. halafu leo tunakipiga na Barca tena. halafu coming wkend tunacheza na Arsenal!! Yani

Mwanakwetu Hizo zote ushinde tu unamkaangia Mungu mayai eeeh!!!!........ndo maana mlitolewa mapema ngoja sisi mwakani tuwape somo.......
 
we mwanakwetu una ndoto wewee. ila nakupendea hilo...fantasy! kwa fantasy watu hujenga maghorofa huku wakilala kwenye mafuriko kama ya pale jangwani!!!

Mwanakwetu kwa sababu ya maneno yenu yananifanya niote tu may be my dreams will come true....leo na wewe asubuh asubuh ukaamka tena na sisi duh!! Nikachoka kabisa........
 
Mwanakwetu kwa sababu ya maneno yenu yananifanya niote tu may be my dreams will come true....leo na wewe asubuh asubuh ukaamka tena na sisi duh!! Nikachoka kabisa........

told u nilikuwa namalizia/conclude tuliyoyamaliza punde. si unajua hata vijana kule leo ndo wameanza mazoezi kwa ajili na Arsenal? Jana walipumzika kdg bila shaka. so kama alivyosema Mentor jana na mimi leo ndo nimemalizana rasmi nanyi. kesho namtazama Arsenal full nondo
 
Last edited by a moderator:
Kuna taarifa kuwa aseno wakitufunga weekend ijayo mashabiki wa man U wataweka kambi humu kwa mwezi mzima.

Ha ha ha ha ha, mkuu usijali yaan hawa wameumia kama Man u tu, ushindi upo upande wetu tu....na kama ndo wamepanga hivyo lazima waaibike


Hahahaha!!!! Kwajins mlivyonitesa omba kikombe hicho mkiepuke...... Nitakuwa Ars kwa uhamisho wa bure kabisa nikiliongoza jahaz mm mwenyewe.

Duuh hizi zote hasira za picha za Mentor, ila hakika kikombe cha kufungwa atakunywa Arsenal sio sisi.
 
Last edited by a moderator:
Watajitahidi kupunguza idadi ya magol kama sisi siyo eeh???

Shauri yenu Wenger sikuhizi kawa mtamu mcharo haoni ndani.... Ile kasi ya wale watoto sijui?? Labda mtumie unazi wenu....... Lol kunguru mjanja ameshaniahidi hata kwa njia za panya watashinda...

Sports Lady, hakuna cha unazi wala nini hawa Arsenal kutufunga wakati wa Mourinho akiwepo ujue dunia inakaribia kuisha... Hawa wetu tu hawana shida yaan tunapiga kimya kimya taratibu.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna washabiki wanajiamini kwa tambo na mbwembwe kama nyinyi lol, yaani wewe, Ntuzu, Mentor, Manumbu, b5-click na kunguru mjanja ni kwere asee
Ila match ya Arsenal sijui kama mtatoka salama

Mkuu kama Baba Mourinho anajiamini kwa nini na sisi tusijiamini, kama yeye anatembea kichwa mbele hata sisi hivyo hivyo. Tunaamini kuanzia kocha, wachezaji mpaka doctor wetu
 
Last edited by a moderator:
siku hizi Wenger mtamu kumbe??

haya njoo useme haya maneno jumapili..tarehe 26.


Watajitahidi kupunguza idadi ya magol kama sisi siyo eeh???

Shauri yenu Wenger sikuhizi kawa mtamu mcharo haoni ndani.... Ile kasi ya wale watoto sijui?? Labda mtumie unazi wenu....... Lol kunguru mjanja ameshaniahidi hata kwa njia za panya watashinda...
 
Aiseee!! Sikujua sisi ni wakali na maarufu hivi yaani bado mnatudiscuss tu hadi leo!!!! Kumbe tungeshinda tungepoteza wengi humu eeeh!!

Shauri yenu nyie endeleen kudiscuss Manu washika bunduki wameandaa silaha za kinyuklia wakipiga moja tu daraja lote linabaki vipande vipande......

Ha ha ha ha ha, hawa washika bunduki na mitutu wanakuwa nayo mingi sana na wanajiandaa vizuri sana, ila sasa wakianza kufyatua unashangaa maji yanatoka tena bora yawe ya moto hata yaunguze, yaan yanatoka baridi kabisa.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom