Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,047
- 3,979
Pengine Bwana atakuwa nawe, nawe utalijenga hekalu na vita havitakuwapo tena katika utawala wako tafadhal uwe hodari na moyo wa ushujaa ukanilipie kisasi juu ya watesi wangu.......... Kelele hizi zikakome......... Mcheza kwao hutuzwa tafadhali lizingatie hilo....
seriously??? nitakuwa na matatizo nikitegemea timu ile ya moyes na hali aliyoanza nayo LVG ipate kombe...labda itokee tu!!! mbona nimesema wazi,tungeambiwa mwanzoni mwa ligi kuwa tutakuwa wa tatu mwezi machi nyuma ya nafasi ya pili kwa point moja tungeshukuru sana....ila baada ya perfomance ya season hii,mwakani tukikosa hata capital one cup nitaweweseka.....target mwaka huu ilikuwa kuingia top four ambayo nafikiri tuna nafasi kubwa kuipata.
NASISITIZA TENA MKIWAFUNGA ARSENAL NIPIGWE BAN MWEZI MMOJA.....mimi sio Malafyale aliyetengua kauli zake
cc: Invisible Moderator
Hizo ni km zile sizitaki mbichi hizi....mlikua ktk title race tena mlikua mmedhamiria kweli....tuliwasoma kupitia nyuso na kila mchezo mliokua mnacheza...kwahiyo msitutie maneno hapa kwamba mlikua mnataka kuingia top four tu....
gibbs atamkaba hazard?
mie nasubiri sana tarehe 26...
naona umeamua kubisha tu kama kawaida yako. SAWA UKO SAHIHI.
Hahahahaaaa Manumbu kweli mwaka wetu huu
Hahahahaaa sio kubisha Mkuu....msituletee hizo mind game zako wakati mlikua ktk title race???!?😀😀😀 mmebugi men!
Na leo vijana wetu wa under 18 wanacheza fainli ya FA dhidi ya Man City!! Yani kuna revolution fulani imetokea darajani na matokeo yake sasa kila level tuliyomo sisi ni washindi tu!!
Manchester City Under-18 boss Jason Wilcox, speaking in the build up to Monday's FA Youth Cup final first leg with Chelsea, says he is confident of "getting players into the first team" at the Etihad Stadium.
Ntuzu si kweli kabisa na una utani wa ngumi weweee yaani kombe mwaka huu sisi???? Unakumbuka enzi zile tuna pigwa na Leicester tulikuwa mtaa wa ngapi na ninyi MNA point ngapi ??aiseee !!! Una utani mbaya aiseee.... Mwakani tuambie Haya maneno sawa.....Hizo ni km zile sizitaki mbichi hizi....mlikua ktk title race tena mlikua mmedhamiria kweli....tuliwasoma kupitia nyuso na kila mchezo mliokua mnacheza...kwahiyo msitutie maneno hapa kwamba mlikua mnataka kuingia top four tu....
Hahahahaaa sio kubisha Mkuu....msituletee hizo mind game zako wakati mlikua ktk title race???!?😀😀😀 mmebugi men!
Jose Mourinho (far right) lining up for Setubal team UCFI against Benfica in 1987. #TheSpecialOne
![]()
Hapana...Debouchy au Berellin atamkaba Hazard!!!gibbs atamkaba hazard?
mie nasubiri sana tarehe 26...