Malengo ya Kocha na mashabiki ni kumaliza top 4 kwa mwaka huu,hope tutafanikisha @ Mentor
Nimeamin rushwa mbaya xana lkn sometime nzuri kwa upande mwingine,na mara nyingi aliezoea kutoa rushwa n vigumu kuacha kwa sababu anijua faida yake, ningependa kuchukua frusa hii kuwaasa vijana wenzangu tuiogope rushwa kama ukoma,tukiiendekeza rushwa hatutafika mbali,xawa wewe utaona unafaidika lkn wenzako wengi utawaumizao, usiharakishe kumeza subiri utanielewa tu,hakuna dhambi mbaya jama Rushwa aka Mrungula wengine hubadiri jina ili waiharalishe na kuiita "TAKIRIMA"Vijana wenzangu nimelazimika kulisema hili baada ya vitendo vya rushwa kuzidi kushamiri nchini na hata kimataifa na wengine juweza kuvuka hadi anga wakisambaza rushwa. Kwa mfano kuna kilabu moja yenyewe imeshaona hili suala ni sehemu yake ya maisha haisiti kufanya hivyo pindi ikiona mambo ni magumu kwake hawa ni Chelsea cku hizi ni kawaida yao ktoa rushwa kwa malaika Israel mtoa roho ili awapendelee inauma xana lkn IPO cku mtoa roho atakchokeni madhara yake mtayaona,mtatoa hongo ataipokea na bado atawashikisha adabu.
Hahahahahahah nimekusoma ntunzu ila city nae piano akomae hasa asiteleze
Kheee. ..........
Umetumwa na Shetani?
Kama ni rushwa kwy game ya jana basi walau ungesema MANU ndio walitoa rushwa. Da Gea kacheza mpira nje ya 18 refa kapeta. Kapewa back pass akadaka kwa mikono refa kapeta. Achilia mbali fauls nyingi against Chelsea alizopotezea.
Kajipange.
Karudia kuangia tena km ile no back pass iliyokusudiwa
Hizo mbio za ubingwa zimekuja baada ya recent form na matokeo tuliyokuwa tunayapata. Lakini main target msimu huu ni kumaliza ndani ya top fourHizo story hazina mashiko. tunachofahama sisi mlikua ktk mbio za kuwania ubingwa...na tuliweza kuwasoma nia yenu kutokana na kila mchezo mliokua mnacheza....
Komaeni sn vinginevo mkiteleza city anakaa juu yenu.
Hizo mbio za ubingwa zimekuja baada ya recent form na matokeo tuliyokuwa tunayapata. Lakini main target msimu huu ni kumaliza ndani ya top four
Kuifunga Man U msije mkajidanganya kuwa mtawafunga Majogoo wakija hapo kwenu!Nakuhakikishia Majogoo tutaondoka na points zote tatu Drajani!!
Najua hata nyie sasa mnayaogopa Majogoo
ha ha ha haaa siku hiyo na majogoo nadhani watakuwa washakabidhiwa kombe lao so nadhani utapangiw team b wakina nathan ake,nditi....captain wao atakuwa obi mikel.
Ubingwa unatania !!! Sisi plan yetu next year kwa sasa only top 4.....
mmmmh alikuwa anachonga wiki.mmoja kabla baada ya kuzifunga timu mbovu,naona leo kawa mdogo kama piliton.
eden hazard n n mwshoooooooooooo
mmmmh alikuwa anachonga wiki.mmoja kabla baada ya kuzifunga timu mbovu,naona leo kawa mdogo kama piliton.