everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,037
Ulale salama wewe nawe pia, na keaho Uje na maona ya mechi ya arsenal 😉
Asante,Nipumzishe km siku tatu hivi.....
Ulale salama wewe nawe pia, na keaho Uje na maona ya mechi ya arsenal 😉
Mkuu Ntuzu nimepita kukusalimia pamoja na fans wote .... Naona msha-draft schedule ya kutembeza kombe
Mkuu nashukuru kwa kupita kaka....ngoma ilikua ngumu sn...inahitaji nidhamu na umakini mkubwa muda wote kukabiliana na timu iliyojitoa kwa chochote....
Kwa ushindi Wa Leo ubingwa lazima uje darajani Mkuu_!
Naomba kidogo mnichambulia kikosi chetu cha jana kwa nn special one alikuja kivile? Aliona nn kuanza na oscar badala ya willium?
Na kwa nini chelsea walikuwa wanacheza counter attack za kisomi kiasi hicho?
Ikiwaje man u speed yake kama ile ck anacheza na man city alishindwa kucheza?
Kuifunga Man U msije mkajidanganya kuwa mtawafunga Majogoo wakija hapo kwenu!Nakuhakikishia Majogoo tutaondoka na points zote tatu Drajani!!
Najua hata nyie sasa mnayaogopa Majogoo
Naomba kidogo mnichambulia kikosi chetu cha jana kwa nn special one alikuja kivile? Aliona nn kuanza na oscar badala ya willium?
Na kwa nini chelsea walikuwa wanacheza counter attack za kisomi kiasi hicho?
Ikiwaje man u speed yake kama ile ck anacheza na man city alishindwa kucheza?