Kama uamuzi ndio huu kila mwaka England itatoa wasindikizaji wa UEFA.
Hayo maneno yananikumbusha kucheza karata msibani...haimrudishi marehemu ingawa inapunguza msongo wa mawazo!!!!! Ukishamaliza kutafuta mchawi soma ubao wa matokeo....... 1 - 0
Kama uamuzi ndio huu kila mwaka England itatoa wasindikizaji wa UEFA.
Hivi roooney au mataaaaa walikuwepooooo
Hongereni sana wote humuuu,mcheza kwao hutuzwa, siyo mbaya dent akiweka record kwa ticha, kapenat ketu mhhhhhhh!!
Ntuzu kunguru mjanja b5-click Mentor nipe utaratibu wa kale kabet ketu niweke wapi......
Chenga tumewala lakini magol hamna........lol
kweli kuna watu na viatu,mshaanza kulia na refa tena hivi mlitegemea ktk kipndi hiki chelsea atapoteza mechi?sidhani ka hilo litatokea pamoja na baadhi ya wachezaji wetu kupungua kiwango
Baba hujaliona jambia lilivyokuwa linafanya kazi yake?? Haki ya mama inawezekana tulikuwa tunachek game tofaut lol....hongereni kwa goal......kismat chenu kama kawa......Mama wap jammbia mlango hujaufikia au bado