Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,242
- 1,429
well done Chelsea
Asante Mou master plan
Za mou hamjui akitangulia basi inalala golini
Kama uamuzi ndio huu kila mwaka England itatoa wasindikizaji wa UEFA.
Chelsea akitangulia kukufunga, hesabu umeumia!
Hongereni sana wote humuuu,mcheza kwako hutuzw, siyo mbaya dent akiweka record kwa ticha, kapenat ketu mhhhhhhh!!
Ntuzu kunguru mjanja b5-click Mentor nipe utaratibu wa kale kabet kako niweke wapi......
Chenga tumewala lakini magol hamna........