Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

na sisi tunao,naona bwembwe mmeanzia kwenye page yenu kule fb yaani mnatutishia sana,aisee mnajiamini,ila baadaye naomba tusipeane sababu kwamba ilikuwa hivi mara vile,kipigo ni kipigo na ushindi ni ushindi hata umejifunga

Asanteeeeeee nyie mlianza sisi tunamalizaaaa
 
Hahahaha!!! Watu weweeeeeeee hatimaye umekubali unaweza kutuhujumu!!! Mshindwe na mlegeee yaani msithubutuuuu......

Yaan kishindwa hatuwezi, na kulegea hatuwezi tupo imara sana.

Nia ya kuwafunga tunayo...sababu za kuwafunga tunazo na uwezo wa kuwafunga tunao
 
Hahhaha tutangulie kufunga mbona huku hakutakalika mtahama

Na tukianza kufunga wasidhani yatatokea Yale ya Van Persie, yaan tukianza ndo moja kwa moja tunahesabu hiyo

Hahahaha!!! Wanasema akuaanzaye.....waulizeni City wanaelewa... Halafu sisi biashara zetu ni asubuh asubuhi jion tunafunga mahesabu hatuna kungoja dakika ya 88, sisi ni ATTACK ATTACK ATTACK WIN WIN WIN......
 
Hahahaha!!! Wanasema akuaanzaye.....waulizeni City wanaelewa... Halafu sisi biashara zetu ni asubuh asubuhi jion tunafunga mahesabu hatuna kungoja dakika ya 88, sisi ni ATTACK ATTACK ATTACK WIN WIN WIN......

Za mou hamjui akitangulia basi inalala golini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom