Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

KEY STATS

Chelsea have lost just one of their last 13 Barclays Premier League home games against Manchester United (W8 D4 L1).

Manchester United have suffered more Premier League defeats against Chelsea than versus any other side (16).

Chelsea’s last home defeat in the Premier League came almost exactly one year ago (April 19, 2014 vs-Sunderland).
 
Sheeeeeeeeenz. . ....... Mmemkodi Mzee ferguson na mmechezea kichapooooooo
 
Huwa anapenda kuwaambia makocha wenzie uwanjani ni ushindi hizo nyingine ni mbwembwe hata mcheze vizuri mkafungwa mashabiki watawachukia lakini mkicheza kawaida lakini mkashinda mashabiki wanakumbuka ushindi siyo kiwango uwanjani.

na mwandiko hauwezi kuwa bora kuliko jibu...hata siku moja
 
Watu walijitamba sana
Baaada ya kupigwa wanasema refa, mara kupaki basi.
Defend and attack ndo mfumo. Bora yule anaejua kujihami kuliko yule ajuae kufanya mashambulizi tu kwani hajui lini atashambuliwa yeye
 
MAN OF THE MATCH

Kurt Zouma (Chelsea): Obviously Hazard was vital in the victory, because he scored the goal, but Zouma’s marking job on Fellaini destroyed United’s usual attacking threat. With-Michael Carrick-already injured, and Wayne Rooney not playing in attack, Fellaini being reduced to a bystander meant United could not bully their way past Chelsea’s defence, and nor could their attacking down the left flourish as usual.

Mwanetu Zouma... Wanakujua au wanakusikia.
 
PLAYER RATINGS

Chelsea:-Courtois 7, Ivanovic 6, Cahill 6, Terry 6, Azpilicueta 6, Zouma 7, Matic 6, Oscar 6, Fabregas 6, Hazard 7, Drogba 6. Subs: Mikel 6, Ramires 6,-Willian-6.

Manchester United:-De Gea 6, Valencia 6, Smalling 6, McNair 6, Shaw 7, Mata 6, Rooney 6, Herrera 6, Young 6, Fellaini 5, Falcao 6. Subs: Blackett 6, Di Maria 6, Januzaj 5.

Hahahahahah... Wapi Filauni manywele.. a.k.a mkubwa fella.. Umepitwa na Mkubwa halisi... MKUBWA NA WANAE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom