Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 338
Full time Preston 0-Chelsea 2
Mnapanga kikosi kizima utafikili mnakwenda vitani, wapeni chance na watoto kina Bolin wacheze.Mpira umekwisha tunasubiri next round! Chelsea 2 Preston 0
Mnapanga kikosi kizima utafikili mnakwenda vitani, wapeni chance na watoto kina Bolin wacheze.
wasi wasi and lack of confidenceMnapanga kikosi kizima utafikili mnakwenda vitani, wapeni chance na watoto kina Bolin wacheze.
Mnapanga kikosi kizima utafikili mnakwenda vitani, wapeni chance na watoto kina Bolin wacheze.
wasi wasi and lack of confidence
Hujui hata kikosi chenu? Anaitwa Fabio Borini kuna kina Gael Kakuta,Nemanja Matic na wengineoBolini ni nani huyo?
Kwanini wasijifunze hata kwa Arsenal kila mechi ina wachezaji wake wa kiwango chake, am sure Wenger hapa angeweka kikosi B...heri mseme nyie, kina ANELKA, JT, BALACK, MALOUDA, against PRESTON wapi na wapi bana? yaani wakikaa kwenye team zao za taifa kweli wanajigamba "siku ile tulocheza na Preston,...!" what a shame!
...heri mseme nyie, kina ANELKA, JT, BALACK, MALOUDA, against PRESTON wapi na wapi bana? yaani wakikaa kwenye team zao za taifa kweli wanajigamba "siku ile tulocheza na Preston,...!" what a shame!
You know nothing, Chelsea hakuna mchezaji anaitwa Bolin, kuna Borini,....Fabio BoriniMnapanga kikosi kizima utafikili mnakwenda vitani, wapeni chance na watoto kina Bolin wacheze.
Na nyie hata makosa ya herufi mnayakomalia kiasi hicho wandugu,You know nothing, Chelsea hakuna mchezaji anaitwa Bolin, kuna Borini,....Fabio Borini
When it comes to name that's completely different person.Na nyie hata makosa ya herufi mnayakomalia kiasi hicho wandugu,
ni kusahihishana tu bra Peasant, sio lazima iwe ishu sanaWhen it comes to name that's completely different person.
bra watakwambia you know nothing, but it sounds palatable eeh hata wakikamata ya tano inawafaa zaidiChelsick sasa wameporomoka na kushika nafasi ya tatu.
Kwanini wasijifunze hata kwa Arsenal kila mechi ina wachezaji wake wa kiwango chake, am sure Wenger hapa angeweka kikosi B
yeah, fat Arse bado wanongoza ligi with a game in hand!bra watakwambia you know nothing, but it sounds palatable eeh hata wakikamata ya tano inawafaa zaidi
ni kusahihishana tu bra Peasant, sio lazima iwe ishu sana
Mnapanga kikosi kizima utafikili mnakwenda vitani, wapeni chance na watoto kina Bolin wacheze.
wasi wasi and lack of confidence
...heri mseme nyie, kina ANELKA, JT, BALACK, MALOUDA, against PRESTON wapi na wapi bana? yaani wakikaa kwenye team zao za taifa kweli wanajigamba "siku ile tulocheza na Preston,...!" what a shame!
That's why you're trophyless for 5 years! Sorry mates, we can't copy the failed system of Mr. Wenger!Kwanini wasijifunze hata kwa Arsenal kila mechi ina wachezaji wake wa kiwango chake, am sure Wenger hapa angeweka kikosi B
That's why you're trophyless for 5 years! Sorry mates, we can't copy the failed system of Mr. Wenger!
Watu wengine bwana!...arghhh!!!...Kisha tungefungwa si mngeleta maneno
tu? Yaani vyovyote vile Chelsea itakavyofanya mtakuja na vijineno tu.
Tuwafanzeni sasa?
You know nothing, Chelsea hakuna mchezaji anaitwa Bolin, kuna Borini,....Fabio Borini
Chelsick sasa wameporomoka na kushika nafasi ya tatu.