Mvina
JF-Expert Member
- Aug 2, 2009
- 997
- 34
Khe khe khe khe ... ... Jana ilkuwa fujo hapa kama vile nongwa na Teachers tulikaribishwa lakini leo haaa mmekuwa Invisible msikonde pamoja na pensioneers wenu sisi tupo kama kawa. Si unakumbuka mlitaka mkabidhiwe kombe November?Huwa mnaonekana wapinzani wenu wakifungwa na ukelele mwingi lakini leo si umejionea mwenyewe tena nikawakaribisha maana nilikuwa naiamini timu yangu, hatuchezi soka la kubahatisha soka linalofundishwa. Vile unaona leo kama kuku alinyeshewa na mvua. Wape salam Chelsick aka mafioso wote kwa mpigo waambie watengeneze kiwanja sio wanja kama tulilocheza leo.
http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/teams/a/arsenal/8464612.stm
Kama kushinda si tulishinda tena ushindi wa kishindo? Hakuna sababu ya kuweka kambi hapa wakati hatuna game.Tusipokuwa na game tuna geukia michezo na timu nyingine kama leo nilikuwa na vijana wa nyumbani VIkings walipokuwa wanawafanya vibaya Dallas cowboys.