The guy was right...![]()
Malouda anataka magoli 7
Simply wakuu andikeni hivi:
Wacha1 njoo ujionee mauaji!
Hahahahaha
Raha sana kuwa shabiki wa Chelsea, raha yani...! 🙂
Wacha nivute Teachers hapa nianze ku-enjoy. Sitaki kuamini wataturudishia idadi hii ya magoli
Huu ushindi wa namna hii hatujaupata siku nyingi leo hawa wamejileta wenyewe..hahahaha 7-1 Lamps on target again.
Damn! 7-2
Anzeni kucheza Cricket sasa.
tutarekebisha, usijali mkuu!hIVI KKwanini hatuwezi kushinda something - 0??? always 2-1, 3-1, now 7-2, WHY?
Huu ushindi wa namna hii hatujaupata siku nyingi leo hawa wamejileta wenyewe..
Na hapa ndo natoweka kwenda kusherehekea kitaa,pamoja sana wadau!Ushindi mzuri mkuu, sasa tunaweza kwenda kujipongeza.
Tatizo la Chelsick si unaona wanasheherekea kufunga magoli saba tu wakati kuna timu wamefunga magoli tisa musimu huu. Mtoto huanza kutambaa sio kukimbia. Khe khe khe khe
![]()
Jitokezeni mafioso wote sio kila siku mnajificha, tunahitaji tuwafahamu sio mkifunga tu ndio mnarukia gari kama wehu vile.
Mkuu,
usidhani tumejificha bro, tunaacha mahasidi mpige kelele tu
mpaka pumzi ziwasihie. we deyah stiill!!!
Regards.