Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,047
- 3,979
- Thread starter
- #24,641
Hahahaha!!! Haki ya mama una vituko wewe!!!! hao malaika na makerubi wako pale katika mlingoti wa magoli tutakayofunga kipind cha kwanza yameingia 2 kipind cha pili yameingia 2 pia, ohhh!!! Haleluya naona utukufu kila mahali........
Yaan nyuma ya goal moja wapo kuna wale wanazi wa Chelsea wanaoshika bendera kubwa ya blue iliyoandikwa "the pride of London" sasa Courtios akiwa goal la upande huo kumfunga ni shida sana.