Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu tumekua tunarushiana tambo sn karibu kila siku kwahiyo baadhi ya vitu sio kuweka ligi...unawakubalia tu uone watasemaje...maana lengo letu kuu ni kua bingwa Na sio kumfunga Man U au Gunners au LFC kitu ambacho ni tofauti kimtazamo Na hizi timu zingine......wanaona kuifunga Chelsea ni fahari kwao.

Game yetu Na QPR ilikua muhimu sn na imekamilisha mahesabu ya kutwaa ndoo.

Hii michezo mikubwa ni kulinda heshima ya timu tu lkn ndoo hiyo lazima itue darajani...

Leo hatupotezi Mkuu. Na tunakwenda kuonyesha ulimwengu kua sisi ni timu bora sn...pamoja Na kua timu yetu ndio inaongoza kwa kushambuliwa ktk mitandao na blogs hata hapa Jf pia kwasababu hawapendi kutuona tunaongoza ligi tangu mwanzo Wa msimu mpk Leo....lkn ukweli utaonekana uwanjani Leo kwamba sisi ni bora....

speak honestly , vipi tutashinda mkuu.
 
Kiongozi usiwe Na hofu...mtafanya vzr tu....Tena tulia kabisa Mkuu...

Timu yenu ingekua chini ya David Moyes hapo ningekubali kua ni vema ukawa Na wasiwasi....lkn chini ya LvG timu iko sawa kila kitu ata km mna majeruhi....

Ninaona uwezekano mkubwa Wa ManU kumaliza ligi ikiwa nafasi ya pili juu ya Arsenal....

teh teh teh...una utani m'baya weye!!!
 
Amekubaliiiiiiiiiiiiii😀😀😀 ndo maana usipokuja hapa naku-miss na nakufata kule kwenu😛

Ha!! Nimekubali nini sasa??? Loh!! Kwanza tusalimiane u mzima wewe?? kunguru mjanja uko pouwa??? Jana tumekimbiana bila hata ya kuagana leo si ndo tutanuniana kabisaa!!! Muwe na siku njema wote humu ndani, jiandaeni daraja kuvunjwaaa!!!!
 
Last edited by a moderator:
Ha!! Nimekubali nini sasa??? Loh!! Kwanza tusalimiane u mzima wewe?? kunguru mjanja uko pouwa??? Jana tumekimbiana bila hata ya kuagana leo si ndo tutanuniana kabisaa!!! Muwe na siku njema wote humu ndani, jiandaeni daraja kuvunjwaaa!!!!

Mimi mzima kabisa everlenk, sijui wewe maana najua jana usingizi haukuwa mzuri kwako 😉 ...

Daraja haliwezi kuvunjika maana kwanza hata halipitiki walinzi na washambuliaji kibao na walio makini
 
Last edited by a moderator:
Ha!! Nimekubali nini sasa??? Loh!! Kwanza tusalimiane u mzima wewe?? kunguru mjanja uko pouwa??? Jana tumekimbiana bila hata ya kuagana leo si ndo tutanuniana kabisaa!!! Muwe na siku njema wote humu ndani, jiandaeni daraja kuvunjwaaa!!!!

Niko kamili gadooooo... Hofu kwako.. Unafanyaga mazoezi wewe!??

Leo ndio Leo lazima unipe ubingwaa... Me si ndo mkali wako..

Leo nipo tayari kwa kukufariji na kukufuta machozi... Hata kunguru mjanja na Ntuzu wanakusubiri kwa hamu.

Mkubwa na wanae...king... Kinda.. Double D yupoooo

Karibu Darajani eeenh
 
Last edited by a moderator:
Niko kamili gadooooo... Hofu kwako.. Unafanyaga mazoezi wewe!??

Leo ndio Leo lazima unipe ubingwaa... Me si ndo mkali wako..

Leo nipo tayari kwa kukufariji na kukufuta machozi... Hata kunguru mjanja na Ntuzu wanakusubiri kwa hamu.

Mkubwa na wanae...king... Kinda.. Double D yupoooo

Karibu Darajani eeenh

Hahahaha mazoezi nafanya mwenzio na ukiniona hutaamin lol

The professional PFA Player and young player yupo kamili gado kuwaonyesha yeye ni mkali kuliko Courtious........
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom