Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hapana everlenk sio wote waingie ila yule anaestahili ndo awepo...

My dear wanaostahili kuwepo ni wengi sana wapi kina Aguero, Silva,Schneider, Mata n.k kwanini hawajakuwepo? Fab yuko njema ila kwa mchango wa kuisaidia timu Cou kwa LFC anasaidia jamani acheni, Kama sisi vile wala hatubishani kwa jinsi De Gea anavyoisaidia timu na hasa kipind ambacho tulikuwa dhaifu kama si yeye ungekuta tuko mtaa wa 10, ashukuriwe Mungu hizi mechi 3 angalau hakuwa na majukumu mazito sana.
 
Last edited by a moderator:
My dear wanaostahili kuwepo ni wengi sana wapi kina Aguero, Silva,Schneider, Mata n.k kwanini hawajakuwepo? Fab yuko njema ila kwa mchango wa kuisaidia timu Cou kwa LFC anasaidia jamani acheni, Kama sisi vile wala hatubishani kwa jinsi De Gea anavyoisaidia timu na hasa kipind ambacho tulikuwa dhaifu kama si yeye ungekuta tuko mtaa wa 10, ashukuriwe Mungu hizi mechi 3 angalau hakuwa na majukumu mazito sana.

Ni kweli mama nakubaliana na wewe kabisa wanaostahili ni wengi kabisa, lakini katika hao wanaostahili Coutinho yuko mbali sana kwenye hizo rank, Mfano hapo angekuwepo Silva au Aguero au Herrera, isingekuwa mbaya maana almost wapo kwenye nafasi sawa.....Coutinho anafaa sana kuwepo kwenye PFA young player, is sio za wakubwa

Kama ni mchango kwenye timu ndo tunaangalia Mchango wa Coutinho haufikii hata wa Hugo Lloris anaoutoa pale Spurs
 
Ni kweli mama nakubaliana na wewe kabisa wanaostahili ni wengi kabisa, lakini katika hao wanaostahili Coutinho yuko mbali sana kwenye hizo rank, Mfano hapo angekuwepo Silva au Aguero au Herrera, isingekuwa mbaya maana almost wapo kwenye nafasi sawa.....Coutinho anafaa sana kuwepo kwenye PFA young player, is sio za wakubwa

Kama ni mchango kwenye timu ndo tunaangalia Mchango wa Coutinho haufikii hata wa Hugo Lloris anaoutoa pale Spurs

Hata nami naona angefaa kwa Young players ila kismati ndo vile kimemdondokea kote kote.....lakini kura si zitapigwa zitaongea zaidi.... Sijui PFA wanaangalia vigezo gani zaidi kama unajua share nasi hapa.
 

Attachments

  • 1429281557707.jpg
    1429281557707.jpg
    30.7 KB · Views: 100
Last edited by a moderator:
Here we give fans an insight into the voting system our members use to decide their PFA Players' Player of the Year winner.-

PFA representatives deliver the ballot forms to the training ground of the 92 League clubs and 8 WSL clubs.

Amongst the instructions and procedures that a player is given is that they are not allowed to vote for a player that is at the same club as themselves. This applies for both the PFA Players' Player of the Year Award and also the PFA Young Player of the Year award.-

Another stipulation is that a player can only win an award if their club has taken part in the ballot, this ensures that all players from other clubs that have voted have a fair chance of winning an award.-

After a member has decided who they are voting for they must sign, fold and then give their envelope to the PFA representative who will seal the vote.-

The PFA use an independent company to count and verify the votes cast, and completed-ballots-are sent directly to Beever & Struthers Chartered Accountants.-

The individual winners for each category will be announced at the PFA Awards on the 26th April 2015 in London. Also announced on the evening will be the PFA Divisional Teams of the Years and the PFA Merit Award.

Cc: everlenk, Ntuzu b5-click
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni shabiki wa Chelsea but coutinho mpira anaufaham sana but the problem ni kwamba coutinho anachezea team ya kiwango cha chini ( Liverpool) lakini kama angekua anachezea team ambayo ipo kwwnye form nzuri kama Chelsea, Asenal au man u hapo ndio mgejua kua huyu coutinho ni moja ya wachezaji wenye vipaji hapa duniani, lakini yote sawa lakini coutinho ni mchezaji ambae ata mimi ananivutia sana kumuangalia akicheza uwanjani so mi naona coutinho kua nominated kwenye pfa player of the year ni sawa kabisa
 
Mimi ni shabiki wa Chelsea but coutinho mpira anaufaham sana but the problem ni kwamba coutinho anachezea team ya kiwango cha chini ( Liverpool) lakini kama angekua anachezea team ambayo ipo kwwnye form nzuri kama Chelsea, Asenal au man u hapo ndio mgejua kua huyu coutinho ni moja ya wachezaji wenye vipaji hapa duniani, lakini yote sawa lakini coutinho ni mchezaji ambae ata mimi ananivutia sana kumuangalia akicheza uwanjani so mi naona coutinho kua nominated kwenye pfa player of the year ni sawa kabisa

Kuna mtu humu anaitwa Malafyale akikusikia unayaita majogoo yana kiwango cha chini atakumaliza...... Lol, Ila kuhusu Cou umesema sahihi ana kipaji kizur kinatakiwa kipaliliwe kipendeze.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahah... Masaa machache yamebaki... Twende kaziiiiiiii

1429296292761.jpg
MSWAHILI kazini... Leo hiyo katika mazoezi ya mwisho... Pasi za hatari zimeonekana kutoka kwa mwanaume MIKEL JOHN OBI.. blaza Josee Tafadhali tuwekee huyu Mtu aue wale "mbwa wa bosi"
 
Wapi wanangu wa Darajani
cc kunguru mjanja Mentor Ntuzu na wengine... Hata kama wewe mpinzani kama Eli79 everlenk n.k

Angalia wanaume kazini

View attachment 244377
Mdogo wetu Zouma "cheusi dawa".. Yuko gym anatengeneza physical fitness.. Kesho ni hatari hapo kati.

View attachment 244378
Kimbiza kimbiza Eden Hazard... Chelsea wanaume tupo fiti... Leta hao Mashetani.. Watajuta kuingia nyumba ya Mwendawazimu.

View attachment 244379
Maana halisi ya Holding midfielder ktk EPL kwa sasa... Wakamue wakamue hao mashetani.

View attachment 244383 Mentor Full back bora umemuona watapita wapi hao mashetani.!? Yupo na mwanetu Cuadrado

1429297744001.jpg
Utamwambia nini... Branna... Mwanaume kazini... Waulize QPR wanamjua
 
Last edited by a moderator:
Wapi wanangu wa Darajani
cc kunguru mjanja Mentor Ntuzu na wengine... Hata kama wewe mpinzani kama Eli79 everlenk n.k

Angalia wanaume kazini

View attachment 244377
Mdogo wetu Zouma "cheusi dawa".. Yuko gym anatengeneza physical fitness.. Kesho ni hatari hapo kati.

View attachment 244378
Kimbiza kimbiza Eden Hazard... Chelsea wanaume tupo fiti... Leta hao Mashetani.. Watajuta kuingia nyumba ya Mwendawazimu.

View attachment 244379
Maana halisi ya Holding midfielder ktk EPL kwa sasa... Wakamue wakamue hao mashetani.

View attachment 244383 Mentor Full back bora umemuona watapita wapi hao mashetani.!? Yupo na mwanetu Cuadrado

View attachment 244386
Utamwambia nini... Branna... Mwanaume kazini... Waulize QPR wanamjua

Kitaeleweka tu kesho mkuu, we usijali wala nini......pale si ndo Stamford Bridge where everything is blue

#KTBFFH
 
Last edited by a moderator:
Wapi wanangu wa Darajani
cc kunguru mjanja Mentor Ntuzu na wengine... Hata kama wewe mpinzani kama Eli79 everlenk n.k

Angalia wanaume kazini

View attachment 244377
Mdogo wetu Zouma "cheusi dawa".. Yuko gym anatengeneza physical fitness.. Kesho ni hatari hapo kati.

View attachment 244378
Kimbiza kimbiza Eden Hazard... Chelsea wanaume tupo fiti... Leta hao Mashetani.. Watajuta kuingia nyumba ya Mwendawazimu.

View attachment 244379
Maana halisi ya Holding midfielder ktk EPL kwa sasa... Wakamue wakamue hao mashetani.

View attachment 244383 Mentor Full back bora umemuona watapita wapi hao mashetani.!? Yupo na mwanetu Cuadrado

View attachment 244386
Utamwambia nini... Branna... Mwanaume kazini... Waulize QPR wanamjua

Amsha amsha vijana jiwekeni sawa kesho mnakutana na wanaume wa kaz, yao moja tu kunywa damu yenu kisha tunamwachia yule docta wenu mrembo kazi ya kuwauguza.....
 
Last edited by a moderator:
Amsha amsha vijana jiwekeni sawa kesho mnakutana na wanaume wa kaz, yao moja tu kunywa damu yenu kisha tunamwachia yule docta wenu mrembo kazi ya kuwauguza.....

Yule docta, acha tu sijui anawatibu wachezaji kwa kuwapa nini, Costa walisema ataweza kucheza game nne za mwisho leo Mourinho anasema anaweza kucheza ya Arsenal...
 
Amsha amsha vijana jiwekeni sawa kesho mnakutana na wanaume wa kaz, yao moja tu kunywa damu yenu kisha tunamwachia yule docta wenu mrembo kazi ya kuwauguza.....

Na yule ni mrembo kweli Kama everlenk... Kesho nahisi itabidi awasaidie nyinyi tu, naona madokta wenu wameshindwa kutuletea majeruhi wenu on-time.. Kichapo kinakuhusu mama

Karibu Darajani
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom