Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hauwezi kwepa JAMBIA kesho kwa kiwango kibovu mlicho kionyesha hizi games 4 za mwisho

Mkuu game ya Manchester United na Chelsea we iache tu, maana hata kama mmoja alikuwa mbovu kiasi gani kwenye hii game atakuwa mzuri tu....

Game ya kesho watu watakuwa wanacheza mpira kwa nguvu na wa tahadhari sana.....
 
Hauwezi kwepa JAMBIA kesho kwa kiwango kibovu mlicho kionyesha hizi games 4 za mwisho


Nimekubali kufungwa michezo mitatu mikubwa yote Na mi4 iliyobaki yote ntashinda na nitakua Na points85 ambazo ManU Na Arsenal hawatafikisha ata km watashinda michezo yote Zaidi watapata point 84 Na 83.....

Mi ni bingwa tu ata nyie mnifunge goli 100.
 
Mkuu game ya Manchester United na Chelsea we iache tu, maana hata kama mmoja alikuwa mbovu kiasi gani kwenye hii game atakuwa mzuri tu....

Game ya kesho watu watakuwa wanacheza mpira kwa nguvu na wa tahadhari sana.....

Ulipata sare ulipokuwa kwenye kiwango chako cha juu mno

Striker wako kesho ni Drogba ujue na miaka yake 46 ehehehehe
 
Nimekubali kufungwa michezo mitatu mikubwa yote Na mi4 iliyobaki yote ntashinda na nitakua Na points85 ambazo ManU Na Arsenal hawatafikisha ata km watashinda michezo yote Zaidi watapata point 84 Na 83.....

Mi ni bingwa tu ata nyie mnifunge goli 100.

Kwa kweli mkuu Ntuzu naona kikombe hiki hakuepukiki......

#team_chelsea
 
Last edited by a moderator:
Natabiri 0-0, 1-1, 2-2, 3-3,.....katika mlolongo huo. Nawe toa utabiri wako ukiwa kama mnazi wa darajani!!!!
 
Nimekubali kufungwa michezo mitatu mikubwa yote Na mi4 iliyobaki yote ntashinda na nitakua Na points85 ambazo ManU Na Arsenal hawatafikisha ata km watashinda michezo yote Zaidi watapata point 84 Na 83.....

Mi ni bingwa tu ata nyie mnifunge goli 100.

Stoke na QPR umepata mabao refa ana angalia watch yake amalize soka tena mkitegemea makipa wa team hizo wakosee

Sasa hizo team ndogo utakazo zifunga ni zipi?
 
Stoke na QPR umepata mabao refa ana angalia watch yake amalize soka tena mkitegemea makipa wa team hizo wakosee

Sasa hizo team ndogo utakazo zifunga ni zipi?

Naomba nikuulize kwanza kati ya Stoke na Swansea city ipi timu ndogo
 
Ulipata sare ulipokuwa kwenye kiwango chako cha juu mno

Striker wako kesho ni Drogba ujue na miaka yake 46 ehehehehe
Malafyale una mzungumzia Kinda wetu!?? Unamjua au unamsikia tu!?? Hivi unajua huyu ni hatari zaidi Falcao... Ni hatari zaidi ya unavofikiria..

Utu uzima dawa.. Utashuhudia kesho.

Mkubwa na wanae.. everlenk
 
Last edited by a moderator:
Ulipata sare ulipokuwa kwenye kiwango chako cha juu mno

Striker wako kesho ni Drogba ujue na miaka yake 46 ehehehehe

Ndo maana nikakuambia mkuu hii game ya Manchester United na Chelsea we iache tu......Manchester kwenye kiwango kibovu alipata draw....
 
ManU Na Arsenal Na LFC wote wanifunge lkn ubingwa uko pale pale ata km mtashinda michezo yote6 iliyobaki lkn kuvuka point 84 hamuwezi....

Tafuteni heshima tu kwa kuifunga Chelsea lkn sio kuchukua ndoo.

Kutafuta heshima wanataka lakini swali ni; je wataweza?
 
Stoke na QPR umepata mabao refa ana angalia watch yake amalize soka tena mkitegemea makipa wa team hizo wakosee

Sasa hizo team ndogo utakazo zifunga ni zipi?


Ata km mseme refa alikubali goli ambalo sio halali fahamu kwamba tangu msimu uliopita mpk Leo hakuna timu kubwa ktk hizi zimeifunga Chelsea Zaidi ya vinyangamkela....Na kesho naanza kz yangu ya kupiga vigogo wote....tia Maji kichwani ujiandae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom