Mvina
JF-Expert Member
- Aug 2, 2009
- 997
- 34
Wana wanaboresha wkend hadi gap halionekani tena..Ndio, inaendelea ni kipindi cha kwanza tunaongoza 4-0
Wana wanaboresha wkend hadi gap halionekani tena..Ndio, inaendelea ni kipindi cha kwanza tunaongoza 4-0
Wana wanaboresha wkend hadi gap halionekani tena..
kuna watu walisema humu oooh Dgobda hayupo itakuwa catastrophic kwa Chelsea...kiko wapivijana wanatupa raha tu
Simply wakuu andikeni hivi:Leo hata hawaonekani kuthibitisha kauli zao huenda wanasubiri mambo yaende kombo ndo waje hapa.
Wamechafua gazeti, tunataka clean sheet next time!5-1 sasa! Naona vijana wamelegeza uzi
Wacha nivute Teachers hapa nianze ku-enjoy. Sitaki kuamini wataturudishia idadi hii ya magoli6-1 Anelka's second, is he on the hat-trick again?
Wacha nivute Teachers hapa nianze ku-enjoy. Sitaki kuamini wataturudishia idadi hii ya magoli
Wacha nivute Teachers hapa nianze ku-enjoy. Sitaki kuamini wataturudishia idadi hii ya magoli