jana burnley wametutafunia tushindwe wenyewe kumeza leo. kuongoza pointi 8 ni muhimu sana kipindi hiki tunachoelekea kuchukua kikombe cha pili. come one the blues!
Acha kujidanganya timu kubwa duniani zinajulikana,kinachowafanya mjadiliwe ni mdomo wenu na mdomo wa kocha wenu.Man United wamefungwa na Arsenal but unasahau mwaka huu Chelsea alifungwa goli 5 na Spurs
Hawa So'ton wananipa raha sana, game bomba sana.
​Dakika ya 42 bado 1-1