Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Of course the same people
 

Attachments

  • 1426309220625.jpg
    1426309220625.jpg
    39.7 KB · Views: 135
RRONDO nimesema hapo nyuma kua hii sio habari kwasababu, hivi karibuni ManU alipoteza OT tena ktk kombe amabalo km mngesonga mbele na kulichukua lingeleta matumaini na kuamsha moyo ule ulipotea ktk timu karibu miaka miwili sasa.....lkn mlifungwa tena nyumbani kwenu na mkaaga mashindano. Lkn cha kushangaza vyombo vya habari ata hapa jf haikua habari kuuuubwa vile km juzi kwa chelsea ndio maana nimekwambia kua kua CHELSEA SIKU ZOTE IKIVURUNDA NDO INAKUA HABARI ATA HAPA JF SIKU HIYO UZI WA CHELSEA ULITEMBEA KWA PAGES ZAIDI YA 20 KWA MUDA WA MASAA MAWILI....VIPI ILE SIKU YENU NA ARSENAL MLIFIKIA KIWANGO HICHI.....

Haina haja ya kuongea kwa kutumia maguvu sn lkn ukweli unajionyesha kila sehemu ndio maana wachambuzi wengi watakuja na hoja zao na kuchambua huo mchezo kitu ambacho ata mimi Mtz ninaekaa Bariadi niliona mpira ulikua mbovu kwa timu zote siku hiyo.


BAK najua kimtazamo wewe unamuunga mkono Ibra ktk hayo maneno alitoa lkn mimi nimesema kua alichofanya sio kizuri kwasababu maana ya michezo haiko hivo....michezo sio chuki au kutoa maneno hovo tu pale unapoface media....Jose Mou baada ya kutoka Paris alisema wazi kua PSG walikua wachokozi na walikua wanatumia mbinu za maudhi na akatolea mfano namna walivokua wakitumia kuzuia Hazard au kuvunja zile Counter attack walikua wanacheza rafu...na hichi ndio walikuja kufanya darajani ata walipokua wanaface media walitoa maneno mabaya ambayo Mou alibidi wakati mwingine ajibu hizo maneno....na mbaya zaidi maneno yanatolewa na wachezaji kitu ambacho kwa maisha ya soka leo mchezaji yuko hapa na kesho yuko pale anaweza akajikuta ktk wakati mgumu kwa mashabiki au kocha pia....turejee sakata la Benitez pale alipokuja darajani mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Tutasikia mengi sn hii wiki mpk tuje tuchuke kombe la EPL ndo mtakaa kimya.
Kweli una tamaa kuwa Chelsea watachukua kombe la EPL?

Ndoo ya Segerea inawasubiri, Ntuzu.

Mlitaka Ndoo ine (4). Mbili zimeota mbawa, cha mbuzi to save face, na EPL haijawakalia vizuri. Ntuzu kuna kitu hutaki kukikubali. Chelsea inatumia mbinu chafu ya ku-dive au kuzidisha chumvi kama alivyofanya Oscar juzi ili kujaribu kum-fool mwamuzi atoe adhabu kali kwa mpinzani.
Si hizo tu lakini tabia ya Mou ya kulalamika kuwa huna hila kuinyima ushindi Chelsea au kukejeli maamuzi ya waamuzi pale maamuzi yao yasipoenda upande wa Chelsea ni vitu ambavyo vinaweza kuwafanya waamuzi kuwa wagumu kwa Chelsea kitu ambacho kinaweza kuua mori ya wachezaji wa Chelsea na kuporomoka kwa matokeo yatakayoifanya Chelsea ibebe hilo kombe la EPL.

Chelsea ibadilike iache "dark art" na icheze soka mwanana.

Chelsea haihitaji "kufanya uhuni, mbinu chafu na referee-mobbing" linganisha na timu za Man City, Arsenal, Liver, Tottenham zilivyo katika hayo. Ukiacha hayo,Chelsea ina kikosi chenye wachezaji wazuri tu. Itawasaidia sana kama watacheza attacking football badala ya hii mbinu ya kupoteza muda na ku-pack basi.

Kwa kweli ubingwa wa EPL uko katika himaya/mamlaka ya Chelsea kuukataa.
 
wana chelsea mna nafasi nzuri ya kuchukua ubingwa ila yule kocha wenu anaongea sana mwambieni aache porojo lake
la si hivyo hata epl mtakuja kulia
 
Baada ya psg kutufunga nimegundua team yetu ni team kubwa sana dunian na hii imjionyesha katika page mbalimbali ya mitandao na hata katika medi mbali mbali dunian ikiwemo jamii forums

Man u aligungwa na arsenal katika uwanja wa old trford na na ktolewa katka mbio za kugombania kombe

Psg ni team kibwa sana dunian na huwezi kuilonganisha na team ya arsena
Leo chelsea katoa drow na team kubwa dunian imekuwa shida hatulan mashabiki wa chelsea kila kona wanatusema ss...kwa nini msimseme man u kafungwa na watoto wa england
 
Naona watu wenye short memories wamesahau walivyokuwa wanamzunguka ref, mourinho huwa ananikosha sana press conference zake ni supa comedy
 

Attachments

  • 1426351187806.jpg
    1426351187806.jpg
    63.4 KB · Views: 93
Mkuu Ntuzu pamoja na kuwa nyie ni watani zangu nilitaka sana mshinde mechi ile na niliamini mna uwezo wa kushinda. Pamoja na upenzi wangu wa soka ile attitude yenu tangu mwanzo mpaka mwisho iliniudhi sana hata raha ya kuangalia mechi ile ikatoweka kabisa. Kusema kweli nisingependa kuyaona tena yale yaliyotokea juzi katika mchezo wowote ule wa mpira katika ligi yoyote ile ikiwemo CL.

Kwa maoni yangu UEFA ingefikiria pia kuondoa hii sheria ya goli la ugenini kuhesabika mawili pindi timu zitakapokuwa zimefungamana baada ya mechi mbili. Hii itasaidia timu kucheza attacking football badala ya kutaka kupark bus golini kwao kwa muda wote wa mchezo kwa kujua matokeo ya 0-0 yanawatosha kuendelea kwenye ngwe inayofuata (iwapo mechi ya kwanza matokeo yalikuwa ni sare yenye magoli). Waige FA ambapo ili katika mechi ya pili kama timu bado ziko sare basi waongozewe muda na baadaye kama bado ni sare basi zipigwe penalties.

Ni hayo tu Mkuu

CC: Nzi.
 
wana chelsea mna nafasi nzuri ya kuchukua ubingwa ila yule kocha wenu anaongea sana mwambieni aache porojo lake
la si hivyo hata epl mtakuja kulia

Burnley 1 - 0 Manchester City
 
BAK;

to be honest, ile mechi Mou hakuwa na plan za kushinda zaidi ya kutafuta draw ya 0-0, nasema hivyo kwa sababu ukiiangalia game Chelsea hawakuonekana kama wana attack kivile,

pia baada ya Ibra kutolewa, Mou pia hakubadirisha mindset ya 0-0, alichotakiwa kufanya ni kupunguza middle mmoja na kuongeza striker na mfumo ungebadirika, so nafasi alichochukua williams kwa Oscer, ilipaswa Remmy aingie na Chelsea wangekuwa na Strikers wawili mble Costa na Remmy, huku wakiwa supported na Ramires, Hazard an Faby

Anyway Man City kadrop point tatu zingine hivyo kauli ya Mou inaweza kutimia kuwa EPL inaenda Stanford Bridge

Forever Blu, Chelsea Daima
 
Last edited by a moderator:
Tukishinda 2 trophies itakuwa msimu mzuri pia itatoa experience na confidence kwenye uefa msimu ujao
 

Attachments

  • 1426362997089.jpg
    1426362997089.jpg
    33.9 KB · Views: 107

Similar Discussions

Back
Top Bottom