yah boy?Managing
DK 103,CHELSEA 2-PSG 1.
Any question or suggestion?
DK 103,CHELSEA 2-PSG 1.
Any question or suggestion?
drogba kwa sasa hana makali zaidi ya remmy,hapa morinho alichoangalia ni kwamba drogba anatia hamasa na kuwatia moyo wachezaji humo humo uwanjani na pia drogba anasimamisha mashabiki wa nje.remmy mwepesi ila mrorinho katumia ushawishi wa drogbaKaka unaonaje hiyo nafasi ya Drogba ingechukuliwa na Remmy, Naona kama Drogba ni mzito kiasi
Mimi sio shabiki wa Chelsea ila naiombea dua njema ishinde hii game!
Umeikumbuka?Mimi sio shabiki wa Chelsea ila naiombea dua njema ishinde hii game!
thanks mkuu,kutokuwa shabiki wa chelsea na kuomba tushinde ndo baraka zenyewe na kuonyesha kuwa una damu ya blue.Mimi sio shabiki wa Chelsea ila naiombea dua njema ishinde hii game!
drogba kwa sasa hana makali zaidi ya remmy,hapa morinho alichoangalia ni kwamba drogba anatia hamasa na kuwatia moyo wachezaji humo humo uwanjani na pia drogba anasimamisha mashabiki wa nje.remmy mwepesi ila mrorinho katumia ushawishi wa drogba
hawapati mkuu,usijaliJamaa wakipata goli la pili ndo tumetolewa.
Ntuzu vipi?Hichi kipindi cha pili ndo kigumu sn
thanks mkuu,kutokuwa shabiki wa chelsea na kuomba tushinde ndo baraka zenyewe na kuonyesha kuwa una damu ya blue.