Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jose hii game imemshinda,Costa game imemshinda kabisa sijui anasubiri apewe red card
 
Watu wanapaki basi wakiwa na wachezaji kamili kwenye uwanja wao wa nyumbani...halafu kocha wao anaitwa master tactician?!?
 
Khe Khe kheeeeeeee nilisema mie sasa yamekuwa kweli labda dakika nyongeza na kama bado sare itakuwa maguu 12 ya mtu mzima mwenye akili timamu. everlenk jiandae na zile shughuli lol! Hahahahaha
 
Last edited by a moderator:
Psg wanaweza kuamua kwenda penati na ukawa ndio mwisho wetu
 
watu wanapaki basi wakiwa na wachezaji kamili kwenye uwanja wao wa nyumbani...halafu kocha wao anaitwa master tactician?!?
mgepaki nye,mtashabikia sana wakati nye hata hamkutia maguu hii section
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom