Mou ameshabadili mbinu baada ya kutoka Ibra
tuna ligi kuu,bado poa hata ikiwa draw,goli ikija ni poa sanaHilo la kubalance red card tulipe kama 70% maana kama refa aliangalai video ya ile red card basi lazima aisawazishe, all in all inatakiwa dakika 20 za mwanzo lazima tupate goli ili tuimalize game
Ni kweli mimi napenda balanced game. Kuna mechi za chelsea ni bora kuangalia championship matches.kuna friends zangu huwa wananiambia game ya chelsea huwa haivutii ila wanashinda,ndo kama wewe,unapenda show game wakati mwisho wa siku mshindi ni mwenye magoli mengi.
B munich 4-0 oly
Na hapo mwamuzi amewasaidia kwa kumwondoa mjinjaji.Mpira mgumu sn
Daaaah hawa chelsea vp
swadakta bado dk 45 tunategemea makuu kutoka chelsea