Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Duh! Wanamasumbwi leo mmekutana ubabe ubabe...so far bado nafasi ipo ya ushindi advantage ya PSG kuwa pungufu inabidi itumike kikamilifu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Chelsea timu yangu fanyeni ya maana munipatie mpunga! huyu muhindi anikome. tiyari baryan kashaua mtu. ha ha ha
 
Hii game sasa inabidi tutulie na kwa sababu tuna advantage ya mtu mmoja hakunanhaja sana ya kuingiza mtu kama williams, hapa sasa inatakiwa tuwe na double strikers, hivy Mou amtoe Oscer na nafasi yake i hukuliwe na Remmy
Remmy pia poa tu,ila oscar asirudi ili tusicheze pungufu maana huyu refa anaweza kubalance red card
 
Unfair Red card..
Wachezaji wa Chelsea walimzingira mwamuzi na mwamuzi gave in.... Lakini na ile acting ya Oscar pia ilimfanya mwamuzi aamini kuwa ilikuwa foul mbaya.

Replays zinaonesha ni unfair red. Kalou, Uko sahihi kwa hili.

Mpaka mida hii mchezo ni wa mwendo wa jongoo.
 
Duh! Wanamasumbwi leo mmekutana ubabe ubabe...so far bado nafasi ipo ya ushindi advantage ya PSG kuwa pungufu inabidi itumike kikamilifu.
jirani tupe hongera tumetisha kipindi cha kwanza
 
Wachezaji wa Chelsea walimzingira mwamuzi na mwamuzi gave in.... Lakini na ile acting ya Oscar pia ilimfanya mwamuzi aamini kua ilikuwa foul mbaya.

Replays zinaonesha ni unfair red. Kalou, Uko sahihi kwa hili.

Mpaka mida hii mchezo ni wa mwendo wa jongoo.
kuna friends zangu huwa wananiambia game ya chelsea huwa haivutii ila wanashinda,ndo kama wewe,unapenda show game wakati mwisho wa siku mshindi ni mwenye magoli mengi.
 
Remmy pia poa tu,ila oscar asirudi ili tusicheze pungufu maana huyu refa anaweza kubalance red card
Hilo la kubalance red card tulipe kama 70% maana kama refa aliangalai video ya ile red card basi lazima aisawazishe, all in all inatakiwa dakika 20 za mwanzo lazima tupate goli ili tuimalize game
 
Kama nilivyotabiri mwanzoni Oscar out Willian in,dk ya 48 kipindi cha pili.
chelsea 0-psg 0
 
Remmy pia poa tu,ila oscar asirudi ili tusicheze pungufu maana huyu refa anaweza kubalance red card

Kweli rentboys.....



B_2CUFfXAAAJRAS.jpg
 
Watu mnaliga kelele kuhusu kadi mnasahau kua hawa PSG mbinu wanayotumia kuwazuia chelsea ni kuwachezea rafu. Hili lilionekana tangu game ya kwanza kule kwao
 
Ibra kaonewa kwa kweli
Mwamuzi anapwaya katika majukumu yake.

Inabidi sheria zibadilishwe ili mwamuzi aweze kuona replays wakati wa mapumziko na akiona amefanya makosa arekebishe...katika hali kama hii angeweza kuifuta red card na kuamua Ibra arudi uwanjani ili aiadhibu Chelsea. ( Atingishe nyavu)
 
Dk ya 58 ni kwamba chelsea tunashambulia tu
wale wanaosubiri updates hapa bado ni 0-0
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom