Ulishawahi kupendwa na demu ambae hauna mpango naye lakini anakuganda kinoma! Ndio design ya huyu bibiye, kila kukicha anachowaza ni Chelsea tu nothing else! She needs to get a life.
Masa and Peasant you real made my day.
Ngugu zangu kama mnataka ubingwa tafuteni kipa mwingine
Leo sikuona kasi ya mpira kwa upande wa Chelsea...........QUOTE]
Mkuu, kasi ya hawa watu imeanza kupotea kitambo sasa na inatutia huzuni sana. Siku hizi hata swezi kuangalia mechi yao, nakuwa nachungulia u results harafu nazama kwenye channel nyingine!
Mechi ya Arsenal, Chelsea hawakucheza vizuri. Kwa Man City hali ile ile, kwa Everton the same thing.
Watu wameanza kuzeeka pale - mtu kama Deco, Barack, kiwango chini. Ivanovic nae ni liability. Nimeanza kuwa na shaka pia na uwezo wa Calvaliho.
Man U wanabeba kombe tena.....so sad!
Ha!ha!ha!ha!aaaaa.........Good job Wacha.......! naona umewarushia pilipili hawa kina Masa, Mvina, Peasant.......kijiwe kikawa hakikaliki? Ha!haaaa....mpka wanakuweka kny Ignore list? Job well done......teheheheheeee.....ama kweli kufungwa kubaya...khaaaah!
Leo sikuona kasi ya mpira kwa upande wa Chelsea...........QUOTE]
Mkuu, kasi ya hawa watu imeanza kupotea kitambo sasa na inatutia huzuni sana. Siku hizi hata swezi kuangalia mechi yao, nakuwa nachungulia u results harafu nazama kwenye channel nyingine!
Mechi ya Arsenal, Chelsea hawakucheza vizuri. Kwa Man City hali ile ile, kwa Everton the same thing.
Watu wameanza kuzeeka pale - mtu kama Deco, Barack, kiwango chini. Ivanovic nae ni liability. Nimeanza kuwa na shaka pia na uwezo wa Calvaliho.
Man U wanabeba kombe tena.....so sad!
Bado mapema sana Man U kuchukua kombe, pia wana matatizo mengi katika defence yao hasa tangu Frednand alipoumia, kulala 1-0 kwa aston villa wakiwa nyumbani OldTraford kunaonyesha wamekosa mtu muhimu kwenye timu yao wa kubadilisha matokeo muda wowote. Ronaldo aliweza kwa sasa Valencia bado sijamkubali - Rooney mzuri lakini lazima apata msaidizi, Bap ni mzigo pale. kwa ujumla ubigwa bado open kwa Chelsea, Man U na Arsenal.
Chelsea kweli lazima waangalie uwezo wa Ballack na Deco. pia defence hasa central mid na holding mid waangalie zaidi. nina wasiwasi January wakati Essien, Obi, Kalue na Drogba wakiondoka nafikiri tuta kwishnee.
Nina Matumaini na kocha, ntakujibu alhamis baada ya game ya Porthmouth.
Kwa sasa ngoja tuone jamaa atafanya nini kurekebisha makosa ya hizo game 4.
She is silly sick pamoja na kuwa yuko kwenye list!
Ha!ha!ha!....aliwapa za uso mpaka hamna hamu naye......tehe!teheheeee
Sidhani....kama uko sahihi...we opted to use the power of Ignoring ....that lady was snoring profusely!
Mazee hizi ni buradani tu........think she /he only meant to entertain zaidi.......!
Anapopitiliza inakuwa kero!
Anapopitiliza inakuwa kero!
Teh teh Nkwingwa,mkuki kwa Nguruwe eeeh..Maana Arsenal tukifungwa wewe ndo unakuwaga nyota wa vijembe pale jukwaani petu...Pamo jah
|Chelsea 3 Everton 3 KUNA kufungwa hapo?
Kudroo home is equal to kufungwa tu........na importanta umepoteza points 2 muhimu..........! mbaya sana hiyo mkuu