Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Khe khe khe, wewe si ulitaka kikombe November? Mara tena sio mbaya! Kwani ni lazima uwe na timu? Mlisema nitakimbia kabla ya huu mpira wa leo na mimi ndio nilikuwa na-update magoli hapa na kujaa kama pishi la udaga hadi Invisible alipokuja kuendeleza libeneke Usikonde ila ni lazima mchezo ujao mtoe kitu kidogo maana dalili ya mvua ni mawingu.

Eastlabds mlisema dreva alipotea na burungutu sasa Darajani sijui mtasema nini? khe khe khe
Sio kila mechi watu wanaangilia kwenye PC zao nyumbani, au mahali anapoweza kuwa buys na JF. Sometimes tunakuwa ndani ya Stamford Bridge tuki-enjoy atmosphere au, au ndani ya pub uipendayo karibu na home huku ukipata some drinks....hayo ndio maisha ya ushabiki wa soka, sio kila wakati mimacho imekutoka kwenye PC ukivizia fulani afungwe utoe utumbo wako JF....should be very stressful, especially if no one to reply your post!
 
_46907437_yakubu2_getty766.jpg



Hawa jamaa ndio waliowatoa kamasi Chelsick
 
Nani anasikitika? Hukuwepo hapa wakati wa mpira umeenda kijificha maana huna uhakika na vikongwe wako. Drog the bar leo kafanya kazi kubwa.

Leo si unajua kulikuwa na wale vizura "Miss world" nilikuwa nachagua kinachonifaa sasa hv ndo nimerudi baada ya mafanikio kule ila huku naona bado hali si nzuri sana.Ila cku zako bado zinahesabika!
 
Sio kila mechi watu wanaangilia kwenye PC zao nyumbani, au mahali anapoweza kuwa buys na JF. Sometimes tunakuwa ndani ya Stamford Bridge tuki-enjoy atmosphere au, au ndani ya pub uipendayo karibu na home huku ukipata some drinks....hayo ndio maisha ya ushabiki wa soka, sio kila wakati mimacho imekutoka kwenye PC ukivizia fulani afungwe utoe utumbo wako JF....should be very stressful, especially if no one to reply your post!

Hayo ndio maisha uyajuayo hongera. Maisha yangu sio ya kuangalia mechi kwenye PC au kwenda kwenye pub. Hapa nipo tuli naangalia michezo niipendayo na kukata ngebe za peasants ambao wanatakiwa kwenda kulima ili nchi isipate njaa.

BTW hicho kiingereza cha kuombea maji bora Wacha na nacho, weka lugha ya taifa tu nitakupata.
 
Ok, tutakuonga wewe maana unaonekana ndio zako, bila rushwa kwako maisha hayaeindi ndio maana kila ukipanua mdomo ni rushwa tu unaongea. Unfortunately, only a fool can think that way!

Kwani ulikuwa hujui Chelsick = Russian Mafia? Ungefahamu hilo tangu mwanzo wala usingesononeka.
 
Kwani ulikuwa hujui Chelsick = Russian Mafia? Ungefahamu hilo tangu mwanzo wala usingesononeka.

Acha kuchafua hapa mahala bana kama unatimu yako si uende ukaweke mazuri yake huko maana hapa hapakufai acha wanaopenda mpira waweke vitu vya maana kuliko kujaza upupu hapa.
 
Acha kuchafua hapa mahala bana kama unatimu yako si uende ukaweke mazuri yake huko maana hapa hapakufai acha wanaopenda mpira waweke vitu vya maana kuliko kujaza upupu hapa.

Mchezo wa nne huu na hamna ushindi muulize Ancelloti halali hivi sasa kibarua karibu ya kuota nyasi. Unataka tuwasifie tu wakati mnaboronga, hapa hakuna cheer leader tunaandika ukweli where we dare to talk openly.

Vipi hufahamu motto wa JF?
 
Mchezo wa nne huu na hamna ushindi muulize Ancelloti halali hivi sasa kibarua karibu ya kuota nyasi. Unataka tuwasifie tu wakati mnaboronga, hapa hakuna cheer leader tunaandika ukweli where we dare to talk openly.

Vipi hufahamu motto wa JF?

Mbona kuna kijiwe hapa watu wamechezea kichapo hata sijakuona kule au unawajua chelsea tu kwa kuboronga?
 
Mbona kuna kijiwe hapa watu wamechezea kichapo hata sijakuona kule au unawajua chelsea tu kwa kuboronga?
Kwa hiyo unataka kunichagulia uhuru wa kusema? Vile vile unataka niseme wapi? Je, mimi nakuchagulia kwa kusema? Kipenda roho kula nyama mbichi.
 
Hayo ndio maisha uyajuayo hongera. Maisha yangu sio ya kuangalia mechi kwenye PC au kwenda kwenye pub. Hapa nipo tuli naangalia michezo niipendayo na kukata ngebe za peasants ambao wanatakiwa kwenda kulima ili nchi isipate njaa.

BTW hicho kiingereza cha kuombea maji bora Wacha na nacho, weka lugha ya taifa tu nitakupata.

muppet!
 
Kwa hiyo unataka kunichagulia uhuru wa kusema? Vile vile unataka niseme wapi? Je, mimi nakuchagulia kwa kusema? Kipenda roho kula nyama mbichi.

Utapata shida sana hapa maana hatutoki kileleni matokeo yenye madhara kwetu ni yale tu yakutuengua kileleni mwa ligi.Najua we siyo mda utakuwa mshabiki wa uzi wa blue and I strongly encourage you to do dat.
 
CHELSEA_947494a.jpg


Mambo si mambo Ha ha ha ha

Sio tabu matanga yataisha kwa Portsmouth lakini kuna yule Israel ambaye anajua siri za Mafia. Je itawezekana? Unakumbuka jinsi mlivyomfukuza?
 
She is on my ignoring list anyway!

Ulishawahi kupendwa na demu ambae hauna mpango naye lakini anakuganda kinoma! Ndio design ya huyu bibiye, kila kukicha anachowaza ni Chelsea tu nothing else! She needs to get a life.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom