kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 7,767
- 14,487
hata wilian alipokuja darajani alianza taratibu na akazoea mazingira,hata oscar labda kama ni wageni wa mpira juan atatisha.
shukrani sana Malafyale. ingawa on paper tulionekana kuwa vizuri kwa sababu 'hatukuwa' na majeruhi lkn maurinho kasema tulikuwa na majeruhi 5 ambao walicheza hivyo hivyo pamoja na majeraha yao. anasema willian, oscar, hazard na Fabregas walikuwa majeruhi na hawaja train toka mechi na Everton.ukichukulia pia na Diego nae hakuwa fit kwa kukosa match fitness no wonder timu yetu haikuwa na kasi tuijuayo. so on paper tulionekana wazuri lkn on ground hatukuwa wazuri hivyo. na kama PSG wangejua hatukuwa fit kiasi hicho wasingecheza kwa tahadhari vile. wangeshambulia sana na huenda matokeo yangekuwa tofauti kabisa. ndio maana Maurinho anasema matokeo yale ni positive results manake timu yake haikuwa fit! na anasema tuna mwezi mzima wa kujipanga kwa mechi ijayo ambayo ni ujumbe tosha kuwa mechi ijayo itakuwa chelsea tofauti kabisa na ilivyokuwa jana.
Kama hii ndio tathmini yako, tathmini yako itakuwa vipi kwa ile mechi baina ya Bayern na Shakt?
Link https://www.jamiiforums.com/sports/20023-the-chelsea-fc-thread-1115.html#post11918161Tulia wewe Nonda, acha papara, subiri muda ufike ili ushuhudie tunavyowatandika hao PSG wako na ndio utajua kuwa chelsea ni balaa msimu huu, ingawa naamini kuwa unalijua hili ila ni either ushabiki au chuki ndio vinakufanya usiyaseme ya moyoni kuhusu uwezo wa theblues. Ila mimi hunipi shida maana watu kama nyinyi lazima muwepo ili mambo yaende. Na ninaomba wapenzi na mashabiki wa chelsea mlitambue hili na msikwazwe na maneno ya huyu Nonda, ndivyo alivyo, kwahiyo mumchukulie hivyo hivyo.
FOREVER BLUE
Mdudu Nzi amekupatia jibu ya hili au hukuridhika? Ameweka links zenye stats.
Lini uliona kadiyangu ya uanachama? Lini nilijitangazia upenzi wa Timu ya Nzi?Nonda+Nzi team yenu ndo inaongoza kwa ku dive according to statistics, Ashely young the mostly
Wayne Rooney said SORRY to Preston keeper Thorsten Stuckmann after controversial FA Cup penaltyDoh! Aisee wewe jamaa kama ningekuwa nakufundisha, ningekuwa nakupa makonzi sana.
Kwani hapa tunaongelea tukio la jana ama matukio yote ya mpira?!?
Mabeki watatu tu!? Mbona nyie mliweka wanne? Terry,Cahill,ivanovic,azpilcueta...
Wayne Rooney said SORRY to Preston keeper Thorsten Stuckmann after controversial FA Cup penalty
Wayne Rooney said SORRY to Preston keeper Thorsten Stuckmann after controversial FA Cup penalty - Mirror Online
Chelsea boss Jose Mourinho admitted his side were a little lucky to secure a 1-1 draw in their Champions League last-16 first leg tie at Paris St-Germain.Tulien vijana mpira utachezwa vzr sana pale daraajan na vijana wa the blues
Asante ma- engineer wetu, JONH TELI NA CAHILL kwa kichora plan ya goli moja tu ugenini..
Yes he said sorry coz he saw the goalkeeper coming and had to get out of the way....evasive action to avoid injury! A foul is not necessarily contact in football even intention can be deemed a foul