yes. tunaliiba kwa kuwapig mabao timu zote ziakazokuja mbele yetu, tena wewe na halaiki ya wasiotutakia mema mkishuhudia na msiwe na la kufanya zaidi ya kujaza mioyo yenu na hasira na chuki na wivu!!
Kaka hataukitchukia vpi usijaribu kuweka maneno yako kwenye vinywa vya wenzako.
Wewe kama una bifu zako zesemee wewe mweyewe. hakuna sehemu ambayo Maurinho anasema kaweka mbinu za rugby au mieleka kwenye uchezaji wa Chelsea.
Kama huipendi Chelsea sio lazima uje humu jukwaani. hayo unaweza kwenda kuyasema kwa wenzako wasio na mapenzi na Chelsea na watakupiga likes lukuki.
Hapa kama ni criticism ziseme kwa maneno yako mwenyewe na kwa thinking yako mwenyewe sio kuweka maneno yako kwenye vinywa vya wengine, thats so cheap man!
Uwezo wako wa kuchambua mambo ni mdogo sana ila hatuwezi kukulaumu kwa sababu ndio uwezo wako huo. Kwa taarifa yako team zinajarobu kusajili wachezaji bora hii yote ni kuhangaika kutaka kupambana na chelsea na kuchukua nafasi inayomilikiwa na chelsea kwa muda huu ni hiyo si nyingine bali ni nafasi ya kuongoza ligi.
Hakuna asiye jua katika ulimwengu wa soka kuwa chelsea this season ni hatar sana. Kumbuka katika mpira kuna mbinu nyingi ndio maana kunawachezaji hufunga goli kwa kushi na likaesabiwa kuwa ni goli.
Kama kwa mawazo yako unaona chelsea wanadive sasa wewe na team yako taften mbinu ya kuwazuia wasidive
Labda nikuulize toka lig ianze chelsea inashinda kwa kudive? kudive ndo goli? au kila wanapodive chelsea inapewa ponit ngap?.
Tulia wewe Nonda, acha papara, subiri muda ufike ili ushuhudie tunavyowatandika hao PSG wako na ndio utajua kuwa chelsea ni balaa msimu huu, ingawa naamini kuwa unalijua hili ila ni either ushabiki au chuki ndio vinakufanya usiyaseme ya moyoni kuhusu uwezo wa theblues. Ila mimi hunipi shida maana watu kama nyinyi lazima muwepo ili mambo yaende. Na ninaomba wapenzi na mashabiki wa chelsea mlitambue hili na msikwazwe na maneno ya huyu Nonda, ndivyo alivyo, kwahiyo mumchukulie hivyo hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.