Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hiyo inakupa tamaa kuwa ya mwaka jana, yatakuwa ya mwaka 2015?

Mjitayarishe tu kwa kusononeka.


Kocha wa PSG ameonysha woga kwa kuweka mabeki watatu akiwa nyumbani kwake na hakuwaruhusu wachezaji wake kufunguka km wawezavo ila walifunguka pale walipopata nafasi....unategemea akija darajani atafanya nini zaidi km kwake ameonyesha woga?
 
Kocha wa PSG ameonysha woga kwa kuweka mabeki watatu akiwa nyumbani kwake na hakuwaruhusu wachezaji wake kufunguka km wawezavo ila walifunguka pale walipopata nafasi....unategemea akija darajani atafanya nini zaidi km kwake ameonyesha woga?
Tusubiri PSG atakapokuja darajani, tutapata majibu. Au unasemaje?
 
Kocha wa PSG ameonysha woga kwa kuweka mabeki watatu akiwa nyumbani kwake na hakuwaruhusu wachezaji wake kufunguka km wawezavo ila walifunguka pale walipopata nafasi....unategemea akija darajani atafanya nini zaidi km kwake ameonyesha woga?

Really? Mabeki watatu tu? Thiago Motta na Cabaye majeruhi, ulitaka ampange nani kwenye nafasi aliyocheza Luiz?
Me nadhani Chelsea ndio walikua waoga, walicheza kwa kujihami sana na waliogopa kushambulia PSG dhaifu namna ile. Leo ilikua siku nzuri ya kuwachapa hawa jamaa kwa sababu ya mapungufu yao, nadhani nyie mlienda kuwafunza "how to park the bus accordingly"
Hivi kama Lucas, Motta na Cabaye wangekua fit kucheza leo, unadhani match ingeisha hivi?
Na wale jamaa zenu pale mbele, Costa, Hazard na Willilan wamepiga mashuti mangapi golini?
Na yule Cahill kawa kichochoro, JT na uzee wake ni mzuri mara mia ya huyo kijana
 
10959358_10153207047987259_8422964494385450481_n.jpg
 
Thanks mkuu baki kwa kazi yako ya kuweka picha hapa jukwaani, unafanya jukwaa lipendeze. Me nkitaka picha huwa nakuja hapa kama reference za picha nilizozikosa, uwepo wako ni mkubwa sana "keep u'r work alive".
 
Really? Mabeki watatu tu? Thiago Motta na Cabaye majeruhi, ulitaka ampange nani kwenye nafasi aliyocheza Luiz?
Me nadhani Chelsea ndio walikua waoga, walicheza kwa kujihami sana na waliogopa kushambulia PSG dhaifu namna ile. Leo ilikua siku nzuri ya kuwachapa hawa jamaa kwa sababu ya mapungufu yao, nadhani nyie mlienda kuwafunza "how to park the bus accordingly"
Hivi kama Lucas, Motta na Cabaye wangekua fit kucheza leo, unadhani match ingeisha hivi?
Na wale jamaa zenu pale mbele, Costa, Hazard na Willilan wamepiga mashuti mangapi golini?
Na yule Cahill kawa kichochoro, JT na uzee wake ni mzuri mara mia ya huyo kijana

Chelsea kwa mechi ile kweli wamecheza kioga sana.
Sio ile chelsea inayoshambulia sana na kupata kona nyingi ambazo huzalisha magoli kupitia mabeki zake.
Costa alicheza leo kama si foward.
Chelsea walipopata goli tu basi wakajua mchezo umeisha, kinachoiangusha Chelsea mara nyingi UEFA ni kutegemea kufunga goli wakiwa Stamford kitu ambacho si kizuri hata kidogo, msimu uliopita tulipita kwa bahati, ila tulipoenda kule Vicente tukacheza defence na pale stamford kila mtu anajua tulichofanywa na Atletico.
 
Chelsea kwa mechi ile kweli wamecheza kioga sana.
Sio ile chelsea inayoshambulia sana na kupata kona nyingi ambazo huzalisha magoli kupitia mabeki zake.
Costa alicheza leo kama si foward.
Chelsea walipopata goli tu basi wakajua mchezo umeisha, kinachoiangusha Chelsea mara nyingi UEFA ni kutegemea kufunga goli wakiwa Stamford kitu ambacho si kizuri hata kidogo, msimu uliopita tulipita kwa bahati, ila tulipoenda kule Vicente tukacheza defence na pale stamford kila mtu anajua tulichofanywa na Atletico.

Co kiuoga mkuu Root gharika la wale jamaa c dogo ata kidogo. Ni timu inayoongoza kwa kupiga pasi nyingi kwa sasa mbele ya baca.
 
Last edited by a moderator:
shukrani sana Malafyale. ingawa on paper tulionekana kuwa vizuri kwa sababu 'hatukuwa' na majeruhi lkn maurinho kasema tulikuwa na majeruhi 5 ambao walicheza hivyo hivyo pamoja na majeraha yao. anasema willian, oscar, hazard na Fabregas walikuwa majeruhi na hawaja train toka mechi na Everton.ukichukulia pia na Diego nae hakuwa fit kwa kukosa match fitness no wonder timu yetu haikuwa na kasi tuijuayo. so on paper tulionekana wazuri lkn on ground hatukuwa wazuri hivyo. na kama PSG wangejua hatukuwa fit kiasi hicho wasingecheza kwa tahadhari vile. wangeshambulia sana na huenda matokeo yangekuwa tofauti kabisa. ndio maana Maurinho anasema matokeo yale ni positive results manake timu yake haikuwa fit! na anasema tuna mwezi mzima wa kujipanga kwa mechi ijayo ambayo ni ujumbe tosha kuwa mechi ijayo itakuwa chelsea tofauti kabisa na ilivyokuwa jana.


Sidhani mkuu
Chelsea hawajacheza vyema lkn wamepata sare tena ya kufunga bao ugenini na hii ndiyo sifa ya team bora(kupata matokeo mazuri hata kama hamjacheza vyema)
kalou Ntuzu Manumbu hongereni sana,mmefuzu tayari
 
Last edited by a moderator:
ila on personal ground sijui kama Cuadrado ni mzuri kama ilivyoandikwa. nadhani naanza kukubaliana na sijui Malafyale au RRONDO kuhusu ubora wa huyu jamaa. labda expectations zimekuwa kubwa sana au bado yuko nervous lkn nadhani si wa kiwango cha Willian na certainly sio wa kumbadilisha Hazard.

Sijui the Blues wenzangu mnalisemeaje hili
 
Last edited by a moderator:
chelsea played a very unattractive game. sikuvutiwa nayo.
 
ila on personal ground sijui kama Cuadrado ni mzuri kama ilivyoandikwa. nadhani naanza kukubaliana na sijui Malafyale au RRONDO kuhusu ubora wa huyu jamaa. labda expectations zimekuwa kubwa sana au bado yuko nervous lkn nadhani si wa kiwango cha Willian na certainly sio wa kumbadilisha Hazard.

Sijui the Blues wenzangu mnalisemeaje hili

Huyo atakuwa Malafyale . Mimi sijawahi kumuons huyo Cuadrado akicheza hats siku moja
 
Last edited by a moderator:
Kocha wa PSG ameonysha woga kwa kuweka mabeki watatu akiwa nyumbani kwake na hakuwaruhusu wachezaji wake kufunguka km wawezavo ila walifunguka pale walipopata nafasi....unategemea akija darajani atafanya nini zaidi km kwake ameonyesha woga?

Mabeki watatu tu!? Mbona nyie mliweka wanne? Terry,Cahill,ivanovic,azpilcueta...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom