Naona Cavani kashachafua gazeti...
Zile za Ashley Young bwana FIFA anasemaje?
Doh! Aisee wewe jamaa kama ningekuwa nakufundisha, ningekuwa nakupa makonzi sana.
Kwani hapa tunaongelea tukio la jana ama matukio yote ya mpira?!?
Tunazungumzia matukio yote ya mpira...wewe umedandia treni kwa mbele baada ya kuona picha ya Rooney ya Jana ..
Chelsea wakishafunga tu basi wanarudi nyuma. Sidhani kama hawa PSG tutawatoa.
Cech aanze, Remy aanze, Oscar aanze mechi ijayo hao waliokuwepo leo wakae nje tu
Chelsea wakishafunga tu basi wanarudi nyuma. Sidhani kama hawa PSG tutawatoa.
Cech aanze, Remy aanze, Oscar aanze mechi ijayo hao waliokuwepo leo wakae nje tu
Malahaba dugu.Shkaoo kaka Nonda.
Hakuwa anakwepa daluga.Kumbe kukwepa daluga la kipa nako ni kudive?! Sasa ulitaka avunjike mguu ama?
Malahaba dugu.
Kalibu kwa jukwa la Ntuzu.
Hiyo inakupa tamaa kuwa ya mwaka jana, yatakuwa ya mwaka 2015?Last season hawa walishinda 3-1 mechi ya kwanza na tukawatoa..