Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1507113_1528489300765781_1575079483131423140_n.jpg
LEGEND

Huu utani sasa unavuka mipaka yake.
 
Watu wanayafurahia matokeo yetu kuliko matokeo ya timu zao.

Yanafurahisha kwa sababu kuu mbili:

1. Mpiga domo Maureen alileta dharau kipindi fulani goons walivyoifunga Spurs 5-3 (angalia picha moja humu),

2. Beki ya rentboys inasemwa kuwa ni bora (cc Mentor), lakini imepigwa goli 5, na sasa imefungwa jumla ya 19, 1 pungufu ya magoli iliyofungwa beki ya Man United inayosemwa kuwa ni mbovu balaa..
 
Last edited by a moderator:
Na hilo ndilo tatizo la backline ya rentboys, haina speed. Angalia hata Mane wa Soton alivyofunga siku ile...

Natamani Man United ikutane na rentboys ikiwa na Di Maria, dogo Wilson na dogo Januzaj akiwa fit...watakikimbizwa hao vikongwe...

hawakwepo hao! mechi y kwanza trafod!' droo mliipata kw taabu wote hao wakiwa fit, acha kujidanganya ......... kweli nimegundua chelsea inawaumiza vichwa sana!, kufungwa tu hivyo watu wamefuraahiiii utafikiri tumeshuka daraja! kumbe bado chelsea mume wao!

Grand PA
 
Haters are laughing but we're still on top. The
problem is that we are so dominant that
whenever we slip up, everyone gets wild. They
think that the game is over but they don't know
that we're Chelsea Football Club, a club with a
never say die attitude that will hopefully come
out on top at the end of the season. WIN,
DRAW OR LOSS, CHELSEA TILL WE DIE!
 
Heri ya mwaka mpya wote,watani poleni sana jana naona haikuwa njema.

Cc: Ntuzu
 
Last edited by a moderator:
sasa ulitaka tulie chelsea kufungwa??? we ndio kiazi kweli...wenzio akina Ntuzu Viol Mentor wote huko walipo wanajua tunafanya sherehe hapa jukwaani kwao hawarudi leo!!!

unafanya sherehe kw chelsea kufungwa!' hahahaha ............. wakati timu yako yenyewe haijashinda!', si ukiazi huo!' kweli nimeamini the best team in the world imefungwa.

Grand PA
 
Last edited by a moderator:
unafanya sherehe kw chelsea kufungwa gemu mbili tu!' hahahaha ............. halafu timu yako yenyewe haijashinda!', si ukiazi huo!' kweli nimeamini the best team in the world imefungwa.

Grand PA

kiazi wewe unaetaka tulie chelsea ikifungwa tena mmefungwa TANO....tutafanya sherehe kila mkifungwa tena mkifunwa TANO ndio sherehe inakuwa kubwa.....
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
ila mechi ya leo ilikuwa ajabu sikutegemea tottenham walikuwa wapo fasta sana,pale kati walijapanga vilivyo,nadhani kuna timu zingine kucheza kwao ngumu kuwafunga wanakuwa majogoo kwao,nilifurahi sana yaliyokukuta leo vinginevyo humu ungekuwa unazingua,ila bado tupo pale juu challenges zenu hazina msingi,ni sawa na fisi kumfuata binadamu kwa nyuma akidhani mkono unadondoka

chelsea walipofunga goli moja tu nikaacha kuangalia nikajua yale yale ya "three point lane" kuja kucheki baadae kidogo nakuta ht 3-1 aisee nikajuta kuacha kuangalia!!!!
 
Yes. The best team in the world lost. Ndio maana everyone is jubilating. Soon wataanza kununa tena maana hatutofungwa tena. Sometimes kufungwa kunasaidia kuleta hasira na kwenda mbele zaidi. One step back n 3 steps forward. Natamani mechi ijayo tungecheza na Man City ili tuzime kabisa kelele
 
haters are laughing but we're still on top. The
problem is that we are so dominant that
whenever we slip up, everyone gets wild. They
think that the game is over but they don't know
that we're chelsea football club, a club with a
never say die attitude that will hopefully come
out on top at the end of the season. Win,
draw or loss, chelsea till we die!

next time tell ur fellow blues supporter not to dream......some of u said u will finish this season unbeaten!!!!some said u won the title already[november!!!!]..... Some of u[after get humbled by newcastle said they wont lose a point till jan 4,its jan 2 u have lost five points already!!!!
 
yes. The best team in the world lost. Ndio maana everyone is jubilating. Soon wataanza kununa tena maana hatutofungwa tena. Sometimes kufungwa kunasaidia kuleta hasira na kwenda mbele zaidi. One step back n 3 steps forward. Natamani mechi ijayo tungecheza na man city ili tuzime kabisa kelele

mkuu upo??? Karibu mtaalam hebu tupe analysis kidogo where the game was won and lost!!!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
kiazi wewe unaetaka tulie chelsea ikifungwa tena mmefungwa TANO....tutafanya sherehe kila mkifungwa tena mkifunwa TANO ndio sherehe inakuwa kubwa.....

umeona ulivyokua kiazi!' sasa aliyekwambia ulie hapa ni nani?! mi mwenyew hata chelsea ufungwe 100 cwezi kulia!' .......... mi nachojiuliza ww furaha yako inatokana na nn?! wakat nimekupita mipoint kibaaaoo!! kwanza ujasiri wa kuingia hapa cjui unapata wapi?!' we utakua haupo sawa!

Grand PA
 
next time tell ur fellow blues supporter not to dream......some of u said u will finish this season unbeaten!!!!some said u won the title already[november!!!!]..... Some of u[after get humbled by newcastle said they wont lose a point till jan 4,its jan 2 u have lost five points already!!!!



Mara nyingi ulikua unakuja na hoja zako kua timu zote zimeicha chelsea kukimbia na kombe peke yake na mimj nilikua nakuambia sio kweli. Leo umegeuka?
 
Yes. The best team in the world lost. Ndio maana everyone is jubilating. Soon wataanza kununa tena maana hatutofungwa tena. Sometimes kufungwa kunasaidia kuleta hasira na kwenda mbele zaidi. One step back n 3 steps forward. Natamani mechi ijayo tungecheza na Man City ili tuzime kabisa kelele

Duh the best team,Real Madrid na Bayern Munich watasemaje sasa? The way mnavyopiga kelele humu ulitegemea mkifungwa (tena goli 5) watu watakaa kimya
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Mara nyingi ulikua unakuja na hoja zako kua timu zote zimeicha chelsea kukimbia na kombe peke yake na mimj nilikua nakuambia sio kweli. Leo umegeuka?

aisee nimekufichua mafichoni!!!!! khe khe khe khe khe khe ni kweli ulipinga hilo...ila wewe ndio ulisema hupotezi point hadi jan 4!
 
chelsea walipofunga goli moja tu nikaacha kuangalia nikajua yale yale ya "three point lane" kuja kucheki baadae kidogo nakuta ht 3-1 aisee nikajuta kuacha kuangalia!!!!

10384337_1076608219032010_7178538518134941136_n.jpg


usitake kuniambia hata hivi vi2 hukuviona ........

Grand PA
 
umeona ulivyokua kiazi!' sasa aliyekwambia ulie hapa ni nani?! mi mwenyew hata chelsea ufungwe 100 cwezi kulia!' .......... mi nachojiuliza ww furaha yako inatokana na nn?! wakat nimekupita mipoint kibaaaoo!! kwanza ujasiri wa kuingia hapa cjui unapata wapi?!' we utakua haupo sawa!

Grand PA

usipaniki wewe....kufungwa kawaida na lazima tu tuwakebehi ndio mpira.....furaha yangu ni wewe kufungwa TANO....mbona liko wazi!!!!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi

Similar Discussions

Back
Top Bottom