Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

sasa ulitaka tulie chelsea kufungwa??? we ndio kiazi kweli...wenzio akina Ntuzu Viol Mentor wote huko walipo wanajua tunafanya sherehe hapa jukwaani kwao hawarudi leo!!!

mkuu nye fanyeni sherehe ligi bado inaendelea,sasa kama chelsea kufungwa mechi ya pili tangu ligi ianze mnafanya sherehe siku inachukua ubingwa si mtakufa presha
 
Napenda uwepo wako ktk Uzi wetu huu na vihoja vyako vyepesi!

Mpk January 4 hakuna point yoyote ile tutapoteza! Kaa na ndoto zako!

hili lilikuwa jibu lako kwa Nonda sasa hii ni JANUARY 2 USHAPOTEZA POINTS TANO .........mpira hauchezwi mdomoni timu yoyote inaweza kukufunga!!!!!

cc: Malafyale Mentor Nzi Nonda
 
Last edited by a moderator:
mkuu nye fanyeni sherehe ligi bado inaendelea,sasa kama chelsea kufungwa mechi ya pili tangu ligi ianze mnafanya sherehe siku inachukua ubingwa si mtakufa presha

hatuwezi kufa tushazoea,nyie sio wa kwanza kuchukua ubingwa!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Morinyo alichemsha kumuacha Lampard,huenda Lampard akawasaidia Man City kutetea ubingwa wao
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
hatuwezi kufa tushazoea,nyie sio wa kwanza kuchukua ubingwa!

ila mechi ya leo ilikuwa ajabu sikutegemea Tottenham walikuwa wapo fasta sana,pale kati walijapanga vilivyo,nadhani kuna timu zingine kucheza kwao ngumu kuwafunga wanakuwa majogoo kwao,nilifurahi sana yaliyokukuta leo vinginevyo humu ungekuwa unazingua,ila bado tupo pale juu challenges zenu hazina msingi,ni sawa na fisi kumfuata binadamu kwa nyuma akidhani mkono unadondoka
 
Ubingwa mlishachukua kabla ligi haijaanza

kama ubingwa tuliuchukua kwanini ligi inaendelea,acheni kebehi mnatuwaza sana,hivi timu yako matokeo leo yalikuwa ngapi?sema ukweli usifiche
 
mkuu nye fanyeni sherehe ligi bado inaendelea,sasa kama chelsea kufungwa mechi ya pili tangu ligi ianze mnafanya sherehe siku inachukua ubingwa si mtakufa presha

Ubingwa ndiyo umeota mbawa kaka,May 15 mnapata Manager mpya ehehehehe
From 9 points up to goal differences just within a week!Ukichora graph hapo utaona anguko la kutisha ehehehe
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
hili lilikuwa jibu lako kwa Nonda sasa hii ni JANUARY 2 USHAPOTEZA POINTS TANO .........mpira hauchezwi mdomoni timu yoyote inaweza kukufunga!!!!!

cc: Malafyale Mentor Nzi Nonda

January 10 na Newcastle ehehehehe!Nanusa anguko lingine hapa maana wachezaji wa Chelsea wamechoka sana!Terry kachoka mno ana miaka 34 anacheza kila game hata za Capital One

Goli la 5 CHADLI kamchukua ajuza Terry toka katikati hadi kwenye 18 bila bugudha yyt ile ehehehehe
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Ubingwa ndiyo umeota mbawa kaka,May 15 mnapata Manager mpya ehehehehe
From 9 points up to goal differences just within a week!Ukichora graph hapo utaona anguko la kutisha ehehehe
tumepoteza mechi mbili tangu ligi ianze msimu huu,hebu usipuuze nijibu nye mmepoteza ngapi?
kwani ligi imeisha mpaka ubingwa uote mbawa,nye wa kudraw na lecter jana timu ya mkiani,kwa sasa unaweza kuchallenge chelsea mpaka muwe juu yake,otherwise ni kujitekenya na kucheka
 
Morinyo alichemsha kumuacha Lampard,huenda Lampard akawasaidia Man City kutetea ubingwa wao

Kivipi? Kwamba Lampard angezuia magoli ya jana? Ilikuwa one of those days, bhaaas, anguko kama hilo hutokea mara moja ktk kipindi cha labda a decade. Unless wewe ni Mancity fan, vinginevyo ungetuliza mpira na kuiangalia table ikoje.
 
January 10 na Newcastle ehehehehe!Nanusa anguko lingine hapa maana wachezaji wa Chelsea wamechoka sana!Terry kachoka mno ana miaka 34 anacheza kila game hata za Capital One

Goli la 5 CHADLI kamchukua ajuza Terry toka katikati hadi kwenye 18 bila bugudha yyt ile ehehehehe

kama lecter mlidraw nyumbani mje kumfunga aston villa?
 
Kivipi? Kwamba Lampard angezuia magoli ya jana? Ilikuwa one of those days, bhaaas, anguko kama hilo hutokea mara moja ktk kipindi cha labda a decade. Unless wewe ni Mancity fan, vinginevyo ungetuliza mpira na kuiangalia table ikoje.

Angalia contribution ya Lampard pale City na jinsi Pelegrini anavyoweza kum-manage ,tatizo la Chelsea key players wameshachoka.Terry,Cahil Azpi,Ivanovic,Matic,Hazard,Cesc wamecheza karibu kila game.Lampard anaijua EPL wakati kama huu angewasaidia sana
 
1507113_1528489300765781_1575079483131423140_n.jpg
LEGEND
 
Watu wanayafurahia matokeo yetu kuliko matokeo ya timu zao.
 
This is going to be a one of those bad days. There's going to be a big turn around. Na kwa kuliona hili tusubiri mechi na Newcastle. Hakuna sababu ya kuinamisha kichwa au kulia. Bado tuko focused na bado kuna mechi nyingi sana mbele. Gap litarudi tu na sisi tutacheka mwisho
 
January 10 na Newcastle ehehehehe!Nanusa anguko lingine hapa maana wachezaji wa Chelsea wamechoka sana!Terry kachoka mno ana miaka 34 anacheza kila game hata za Capital One

Goli la 5 CHADLI kamchukua ajuza Terry toka katikati hadi kwenye 18 bila bugudha yyt ile ehehehehe

Na hilo ndilo tatizo la backline ya rentboys, haina speed. Angalia hata Mane wa Soton alivyofunga siku ile...

Natamani Man United ikutane na rentboys ikiwa na Di Maria, dogo Wilson na dogo Januzaj akiwa fit...watakikimbizwa hao vikongwe...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom