Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,676
- 8,246
Leo hakuna cha Mentor ing ------ wala cha nini makosa ni ya Invisible ambaye machale yalimcheza na kufanya maintanance ya kuondoa adverts ambazo hazilipi chochote JF na kupooza ma-points ambayo Chelsick wamekuwa wakibamizwa kila week, kumbe ndo kitanzi chenyewe. Chezea EPL alifikiri bado yupo Portugal khe khe khe khe he khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, anzeni kumwandalia timu ya kwenda mwezi May, Four months from now the time is ticking ... ... ... .