Bado tunaongoza ligi kwa alphabet...still on top of it!! Na hiyo nayo pia ni rekod
Sio kwa alphabet. Ts because of the draw tuliyotoa na man city kwao. Kama ile game ingechezwa kwetu tukadraw..leo wao ndo wangekuwa on top!!!
Sio kwa alphabet. Ts because of the draw tuliyotoa na man city kwao. Kama ile game ingechezwa kwetu tukadraw..leo wao ndo wangekuwa on top!!!
Bado tunaongoza ligi kwa alphabet...still on top of it!! Na hiyo nayo pia ni rekod
Duh! Wewe jamaa ni mweupe sana...Rentboys a.k.a Chelshit wanaongoza ligi kwa alphabet, kama hufahamu jambo ni heri kuuliza kwanza..
Hivi unafahamu kama ndiyo ingekuwa mwisho wa ligi, ingebidi ipigwe game kwenye neutral ground kutafuta bingwa?! Bingwa asingepatikana eti kwa kuwa Chelshit alitoa droo Emptihad..
Kuna tofauti ya kuwa bingwa na kuwa on top of the league!