Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Acheni uongo wenu anaharibu ligi kivipi? Asiseme ukweli kutokana na hali ilivyo? Mimi nilisema tangu nyuma hapo juu ya swala la waamuzi na hili ndio Mourinho kalisema!

Mkuu makosa ya waamuzi yapo...wakati mwingine yanakunufaisha pia kukuudhi..ndo mpira.

Sasa mambo ya Marefa wana kampeni dhidi yake yanatoka wapi? Yani Mourihno aonekana yeye Special mpaka marefa wapange mbinu chafu dhidi yake?
 
Wenyeji kweli wapo hapa?Mbona kimywa sana jamani? RRONDO upo?
Nilipita tu kuwasalimia na kuwakumbusha usemi wa watu wa kale kuwa "usitukane mamba kabla hujavuka mto"
 
Last edited by a moderator:
kwani ngapi ngapi??? mimi post zangu nyingine hata sijui ziko wapi?
 
Kaka points 2 hizo za wapi?Man City anaongoza ligi kuanzia leo

Nazungumzia gap Kati ya Man U na Chelsea limepunguzwa kwa pt 2. Nimedroo leo yeye kapigwa....just that maana nilikuwa nam-jibu mjomba hapo juu aliyenambia mind the gap
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom