Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

.............papiiiiiiiiii!!!!!!!! :coffee:........Cisse!!!!!!!!!!
 
bado tupo kileleni mjue,naona leo mmepata cha kuongea,ila bado tupo pale juu
 
Watu walishajitangaza mabingwa na invincibles baada ya mechi chache tu, tulipouliza busara zao majibu yao yalikua kama mipasho vile........teh teh teh teh.
Hongera Newcastle, the Bianconeri wa EPL
 
at last bikra imeondolewa rasmi leo...siku zote ya kwanza ndio unakuwa mwoga. new castle wamefanya njia, sasa mtazoea kwa kuwa mmeona tamu!

poleni kina Ntuzu & co

full time Newcastle 2 Chelsea 1
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu ndiyo soka kaka!

Invisible ataendelea kuwa mmoja tu EPL!Piga moyo konde tuendelee mbele!!

Jumamosi ijayo utamfunga Hull City kwako lkn Jumatatu ya Dec 22 nyumbani kwa Stoke City kwa kiwango hiki cha mechi hii na ile ya Sunderland na QPR sidhani kama mtapata matokeo mazuri
 
Last edited by a moderator:
Khe khe khe khe yule Wenger eti alitabiri hakuna wa kusimamisha Chelsea msimu huu hahahahahahahaha lol!!!! Si rahisi kutangazwa bingwa baada ya mechi 11 kati ya 38.

Shangaa mimi from unbeaten to beaten,kwakweli ajidhaniaye amesimama aangalie asianguke....duh sasa hapa ngoma inogile balaa kila timu itacheza kwa juhudi na akili.
 
  • Thanks
Reactions: BAK

Similar Discussions

Back
Top Bottom