S simwela Member Joined Sep 15, 2014 Posts 71 Reaction score 9 Dec 6, 2014 #20,441 Moi hajawah shinda st James park.. Akijitahid hua draw...
Ziroseventytwo Platinum Member Joined Mar 27, 2011 Posts 9,398 Reaction score 17,791 Dec 6, 2014 #20,442 shullre in osca out....Chelsea bhana wanashangilia kuingia mchezaji wakati wenzao wanashangilia goli
WISE 2012 JF-Expert Member Joined Mar 13, 2012 Posts 634 Reaction score 460 Dec 6, 2014 #20,443 leo tunapigwa jaman.cion kufunga
WISE 2012 JF-Expert Member Joined Mar 13, 2012 Posts 634 Reaction score 460 Dec 6, 2014 #20,444 sion speaking balls
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,419 Reaction score 18,368 Dec 6, 2014 #20,445 kuweni na moyo waungwana mda upo mtashuhudia wenyewe
lonewolf ranger JF-Expert Member Joined Feb 22, 2013 Posts 476 Reaction score 149 Dec 6, 2014 #20,446 kwamba huyu ndo ndo mtoa bikra!
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,926 Dec 6, 2014 #20,447 Ntuzu said: Ni kweli mchezo mgumu Lkn mpk sasa Newcastle tumemshika! Nchi za kusini wengi hupenda Rugby! Lkn ungeweza kutufatilia ata kwa Jf mkuu! Pamoja sn mkuu! Click to expand... Mkuu Ntuzu za siku?? Nilimisi sana pande hizi, nilibanwa na kazi kiaina. Vipi mechi huko...!! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Ntuzu said: Ni kweli mchezo mgumu Lkn mpk sasa Newcastle tumemshika! Nchi za kusini wengi hupenda Rugby! Lkn ungeweza kutufatilia ata kwa Jf mkuu! Pamoja sn mkuu! Click to expand... Mkuu Ntuzu za siku?? Nilimisi sana pande hizi, nilibanwa na kazi kiaina. Vipi mechi huko...!!
Ziroseventytwo Platinum Member Joined Mar 27, 2011 Posts 9,398 Reaction score 17,791 Dec 6, 2014 #20,448 tayari bikra imeondolewa 2-0
lonewolf ranger JF-Expert Member Joined Feb 22, 2013 Posts 476 Reaction score 149 Dec 6, 2014 #20,449 chapiliii!
SaaMbovu JF-Expert Member Joined Oct 8, 2013 Posts 6,028 Reaction score 5,359 Dec 6, 2014 #20,450 Kumekucha
Horseshoe Arch JF-Expert Member Joined Aug 10, 2009 Posts 13,402 Reaction score 12,791 Dec 6, 2014 #20,451 Daaah Chelsea keshabikiriwa hivyo...ready kuwa mchepuko
BAK JF-Expert Member Joined Feb 11, 2007 Posts 124,769 Reaction score 288,331 Dec 6, 2014 #20,452 Chezeya EPL weye!!!! Mzee mzima anaadhirika leo, undefeated record for this season tupa kuleeee
SaaMbovu JF-Expert Member Joined Oct 8, 2013 Posts 6,028 Reaction score 5,359 Dec 6, 2014 #20,453 2-0. Cisse again
lonewolf ranger JF-Expert Member Joined Feb 22, 2013 Posts 476 Reaction score 149 Dec 6, 2014 #20,454 Ziroseventytwo said: tayari bikra imeondolewa 2-0 Click to expand... domo zege ndo ametoa bikra aisee!
Ziroseventytwo said: tayari bikra imeondolewa 2-0 Click to expand... domo zege ndo ametoa bikra aisee!
Mhadzabe JF-Expert Member Joined May 20, 2009 Posts 3,246 Reaction score 4,755 Dec 6, 2014 #20,455 Hawa ngozi nyeusi hawa!... Cicce unevuruga siku tangu!
SaidAlly JF-Expert Member Joined Jan 22, 2011 Posts 2,373 Reaction score 2,306 Dec 6, 2014 #20,456 Duh! Leo tumelala aisee.....Mou akifanyaga double sub huwa siamini hata kidogo. Tumelala aisee 2-0 na refa amegeuza uwanja wa mieleka hapa.
Duh! Leo tumelala aisee.....Mou akifanyaga double sub huwa siamini hata kidogo. Tumelala aisee 2-0 na refa amegeuza uwanja wa mieleka hapa.
WISE 2012 JF-Expert Member Joined Mar 13, 2012 Posts 634 Reaction score 460 Dec 6, 2014 #20,457 nilisema jaman
M motsepe Senior Member Joined Apr 8, 2014 Posts 137 Reaction score 34 Dec 6, 2014 #20,458 Mambo magumu leo labda hui red card itasaidia kidogo but ooooh drogba kaweka moja
SaidAlly JF-Expert Member Joined Jan 22, 2011 Posts 2,373 Reaction score 2,306 Dec 6, 2014 #20,459 Asante Drogba! 2-1 now.
Mhadzabe JF-Expert Member Joined May 20, 2009 Posts 3,246 Reaction score 4,755 Dec 6, 2014 #20,460 Drogba thanks