Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

Ukitaja hilo kabila tu......kuna watu watakubwatukia hapa kwa imani zao.....

Jitahidi kuelezea mpaka uwezo wako wa mwisho ili waelewe kuwa umezungumzia kabila lile tuuu!
Unaanisha waarabu au?
 
Kuna kipande flani hivi cha wimbo wa Afande Sele, nadhani ni darubini anasema: " si unajua wenye pesa wengi waarabu, nilipoomba msaada, walitaka kwanza taarabu"
 
Kwa East Africa ni Waarabu na ndio maana hakuna nchi yenye mashoga wengi duniani kuliko Saudia. Wakaleta upumbavu wao huku East Africa.
Kukumdogo

Israel ndo inaongoza

Ni pepo yao mashoga
 
Sasa Kama Saudia mashoga wengi lakin hawajapitisha Sheria ya kuruhusu Ushoga , Ulaya na makanisani wapo wachache tayari washaruhusu Ushoga jee wakiwa wengi Kama huko si mtaambiwa msipikuwa mashoga hamtaona ufalme wa Milele?
Nchi inayoongoza kwa kua na machoko wengi ni Israel kubali ukatae huo ndo ukweli na inafuatia marekani na Vatikani, wee mchunguze vizuri yule jamaa wa moshi mweusi utajua tu
 
Teeh teeh teeh.

Dada huwezi kuondoa ukweli kwamba wazungu wanapenda mno tena sana huu mchezo.

Lakini kwa vile ni makafiri wenzako wala huoni.

Ebu cheki hapa chini hawa mashoga
View attachment 680523
Hapo ni kanisani na tazama kwenye back ground ya hiyo picha utaona kisanamu cha bikra maria.

Yaani nyie makafiri mpaka makanisani mnalawitiana achilia mbali kufungishana ndoa.
wana mpaka bendera yao ya upinde wa mvua shenzi kabisa haya maluuni ma israel yanatuaribia dunia
 
Kuna kipande flani hivi cha wimbo wa Afande Sele, nadhani ni darubini anasema: " si unajua wenye pesa wengi waarabu, nilipoomba msaada, walitaka kwanza taarabu"
Du???
 
Au we mwarabu ndugu, usabinazabina ushankunanku, kujipendekeza na kujifaragua kwa mafirauni Hawa unapata Nini?
Hakuna kujipendekeza,ukweli ndio,kitendo kinakuwa ni cha siri,wewe unajuwaje kama ni kabila hilo tu ndio linafanya hicho kitendo.Inavyoonyesha ulifanyiwa na mtu mmoja wa kabila hilo,akili yako ikakupa ni wote wanafanya hivyo.
 
Hamna, Ni Kama kusema soka Brazili lakini wako wengine, au bolingo Congo, lakini wako wengine, tatizo namba ndugu. Takwimu,Ni Hilo tu,
Hiki ni kitendo cha siri,baina anayetendewa na snayetenda,sio kitendo cha kufanyika hadharani,au watu wakaingia kwa kiingilio,kama soka au mziki.Ukiona mtu anakitaja sana kitendo hiki,na kukinasibisha na kabila fulani, ujuwe huyo alishafanyiwa na mtu mmoja,wa kabila hilo,kwa hiyo akili yake yote,ajua ni kabila lote,linafanya hivyo.
 
Tamaa tu,,, na kupenda vya DEZO.... utatafunwa KWELI
 
Hivi nisaidieni
Makubwa haya, hivyo Kuna haya Muhamadi alimaanisha unaweza kumuingilia mwanamke kinyume????? Make mbona waislamu particularly waarabu wanapenda Sana mchezo huo?????
Ona hili,
tapatalk_1514787366213.jpeg
 
MTU yupo na boyfriend, mchumba au mume, anataka mchezo huo hapo vya dezo vimetoka wapi??
 
Yan mleta uzi kaeleza vizuri asili ya ushoga ni waarabu kuja kufanya biashara ya utumwa mtu linamtoka povu la dini
Wazungu pia wamepelekewa ushofa na warabu?
Ama kweli vyuma vimekaza hadi kufikiri mnashindwa, mkishazowea mdebwedo kupitia vikundi vyenu jamaa yenu anaonekana kupuuza ndio maana mnazidisha chuki kwa wenzenu
Slow down... Niggga.....

View attachment 680444
Ma mdogo arabuni sio kama kwenu nyie ulaya

Kule ukigundulika wewe ni shoga amma unajiusisha na vitendo hivyo adhabu yake ni kifo tu.

Hawachekei ufirauni kama wazungu mpaka sheria za kuwalinda wamewaekea na mpaka makanisani hizo ndoa zinafungishwa tena na biblia wa.nashikishwa.
 
Back
Top Bottom