likes zinaliwa?Na muendeleee kubishana cjawapa like za bure
Kwa East Africa ni Waarabu na ndio maana hakuna nchi yenye mashoga wengi duniani kuliko Saudia. Wakaleta upumbavu wao huku East Africa.
Hahahaaaaaaaa adhabu yake achinjwe hadharaniUkitaja hilo kabila tu......kuna watu watakubwatukia hapa kwa imani zao.....
Jitahidi kuelezea mpaka uwezo wako wa mwisho ili waelewe kuwa umezungumzia kabila lile tuuu!
SunaWaarabu ndio weleta huo ujinga
Ni nchi gani ya Uarabuni unayoijua imeruhusu ushoga kisheria na kuupa baraka zote kama sio nchi za Wazungu!?Waarabu ndio weleta huo ujinga
Ile ni culture yao hawana haja ya kuruhusu. Kiasilia wako vile.Ni nchi gani ya Uarabuni unayoijua imeruhusu ushoga kisheria na kuupa baraka zote kama sio nchi za Wazungu!?
Kwi kwi kwi.Mapenzi ya jinsia moja umeanza muda mrefu sana tangu karne ya 8. Bahati nzuri kipindi hiki hakukuwa na media kama sasa. Ni kipindi ambacho biashara ya utuma ilishamiri sana.
Wanaume ndio walikuwa wanahitajika zaidi kuliko wanawake. Hivyo basi kutokana na kusafiri muda mrefu kwenye majahazi, historia iliyofichwa inaeleza wale MABWANA walikuwa wanawafanyia vibaya kinyume na maumbile wale watumwa.
Unabisha? Hii ilitokana na kukaa muda mrefu njiani, chakula kikuu kilikuwa biriani ambayo ina mafuta mengi sana.
Biriani ilipunguza gharama sana muda mwingi watumwa waliishia kunywa maji...
Back to topic fuatilia maeneo mengi ambayo wamepita wale MABWANA na kukaa muda mrefu kuna haya mambo sana....
hahaaaaaSasa Kama Saudia mashoga wengi lakin hawajapitisha Sheria ya kuruhusu Ushoga , Ulaya na makanisani wapo wachache tayari washaruhusu Ushoga jee wakiwa wengi Kama huko si mtaambiwa msipikuwa mashoga hamtaona ufalme wa Milele?
Ma mdogo arabuni sio kama kwenu nyie ulayaIle ni culture yao hawana haja ya kuruhusu. Kiasilia wako vile.
Which crack are u smoking ??Kwa East Africa ni Waarabu na ndio maana hakuna nchi yenye mashoga wengi duniani kuliko Saudia. Wakaleta upumbavu wao huku East Africa.
Aliposema Allah kwenye Quran n viumbe waso na fikra hawa makufar ..yanajithibitishaKwi kwi kwi.
Kweli ukiwa kafiri akili za kufikiri zinakua kama funza.
Hivi nani asiyejua swala la ushoga limetamalaki ulaya yote wanaume kwa wanaume wanaoana vivo hivyo kwa wanawake pia
View attachment 680433
View attachment 680438
Tena kibaya zaidi hizo ndoa mpaka kanisani zinafungishwa mpaka sheria za kuwalinda hao manyang'au zipo.
Lakini kwa vile Dada mtoa mada ulipigwa mimba na mwarabu kisha akakutelekeza basi hasira zako zote zipo kwao yani kulawitiana mliwitiane nyie tena mpaka makanisani ila uje usingizie warabu.
Teeh teeh teeh.
Amma kweli ukafiri ni nuksi.
Unaporuhusu maasi yafanyike hadharani nikusema kuwa unahamasisha hata wasiokuwa na mpango wa kufanyajambo hilo wahamasike,mfano mdogo chukulia madawa ya kulevya yangeruhusiwa kisheria madhara kiasi gani yangetokea?fikiria kama kila mwanaume duniani amuoe mwanaume mwenzie maisha yangekuwaje?hata vizazi visingeendelea.Ni ushetani kuhalalisha maovu.Ile ni culture yao hawana haja ya kuruhusu. Kiasilia wako vile.
Hizo nichuki binafsi zinazoambatana na Racism+Religionalism.Waarabu na mambo ya taarabu,hatar sana!
Sheria si hoja, waarabu wafanya sanamchezo huu...tusiwaseme waarabu, ubaya Ni hulka wako kila pahala, lete hoja, chanzo , sababu na masuluhishoNi nchi gani ya Uarabuni unayoijua imeruhusu ushoga kisheria na kuupa baraka zote kama sio nchi za Wazungu!?
Hongera kwa kuwajua waarabu vilivyo.Sheria si hoja, waarabu wafanya sanamchezo huu...tusiwaseme waarabu, ubaya Ni hulka wako kila pahala, lete hoja, chanzo , sababu na masuluhisho