Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,835
Wanashangaza sana kwakweli.yani katika vitu vinavyonishangaza ni hawa ndugu zetu kina (NANII) yani ukiwasema waarabu tu wenyewe watakuatack kama umewasema wao na kuanza kuleta udini na kuita wenzao kafiri
waarabu ni weupe ila nashangaa wanaposemwa kuna jitu jeusi kama mnubi linaanza kuwashwa kama limesemwa lenyewe na silaha yao kubwa ni dini
hapo haijatajwa dini ametajwa mwarabu na mambo yake ya kupita chooni.... sasa nyie ndugu zangu kina (NANII) hizi kelele za udini sijui zimetoka wapi