Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

Wazungu pia wamepelekewa ushofa na warabu?
Ama kweli vyuma vimekaza hadi kufikiri mnashindwa, mkishazowea mdebwedo kupitia vikundi vyenu jamaa yenu anaonekana kupuuza ndio maana mnazidisha chuki kwa wenzenu
Sio mwarabu wala mzungu, ubaya haina kwao
 
aya mmeletewa hapo, za mtume wenu alivyokuagizeni, bado mwabisha nini??
 
Sasa INA maana wote wanaofanywa, na wanaofanya hiyo ndio sababu????
Sana tu... Unadhani kabla hujaanza tabia hyo utaanza kwa style gn? Lazima uanzishwe,,, na utaanzaje? Lazima udanganywe.. Na vya bure
 
Kila taifa na ustaarabu wake, Huo mchezo Africa sio asili yake, kwani waswahili utamaduni waohauzuii wala kutenga wanaume na wanawake, kibuyu cha asali nje nje hatuko hivyo
 
Mimi so mkiristo,lakini na ifahamu Bible, Paulo Kazakhstan aka visa, wala wachawi, wala, walafi, wala, wazinzi, wala wafiraji, hawatauona ufalme wa Mungu
 
Mapenzi ya jinsia moja umeanza muda mrefu sana tangu karne ya 8. Bahati nzuri kipindi hiki hakukuwa na media kama sasa. Ni kipindi ambacho biashara ya utumwa ilishamiri sana.

Wanaume ndio walikuwa wanahitajika zaidi kuliko wanawake. Hivyo basi kutokana na kusafiri muda mrefu kwenye majahazi, historia iliyofichwa inaeleza wale MABWANA walikuwa wanawafanyia vibaya kinyume na maumbile wale watumwa.

Unabisha? Hii ilitokana na kukaa muda mrefu njiani, chakula kikuu kilikuwa biriani ambayo ina mafuta mengi sana. Biriani ilipunguza gharama sana muda mwingi watumwa waliishia kunywa maji...

Back to topic: Fuatilia maeneo mengi ambayo wamepita wale MABWANA na kukaa muda mrefu kuna haya mambo sana..
Wewe ndio unaandika mambo ya juzijuzi wakati mambo haya yameanza muda tangu wakati wa akina yakobo na noah na lut wayahudi waliuanza huu mcheza hata hiyo miaka hayajaanza kuhesabiwa wakagharikishwa leo unaandika eti walikuwa wanasafiri na majahazi na chakula ni biriani na hapo ukimaanisha waarabu sijui babu ndie aliekueleza au ni akili zako tu
 
Mchezo huu umependwa sana na kizazi cha sasa hasa watu wa magharibi wameshindwa kujizuia imebidi walazimishe iwe halali na waoane. Hata sehemu upo huu mchezo lakini ni aibu na fedheha kubwa hata kama wanafanya lakini wanajifichaficha lakini sio hawa wa magharibi wameupenda sanaa hata wameshindwa kujizuia.
 
wewe bint uliyetoa mada nitakuja kukusalimia hapo mirembe

ntapita naenda singida.

yan mabint wa mirembe nao wanaruhusiwa kuwa na sim???


ulaya especially uingereza wanaruhusiwa na kanisa lao anglicana ndio wamebeba bendera hyo.

hata wakubwa jeshin huko uingereza n mashonga

ww unakuja na propaganda hapa

acha upuuuz ww kama ulibakwa na mwarab sio hasira ziwe kwa warab wote bna.

na ngoja watapitisha mufanyie kanisan maana din yenu inaendeshw kwa matamko ya viongoz ambao wao pia ndio mashabik wa ushoga
Walio Mirembe wamependa hata uwatukane/kuwadhalilisha kuwa ni mabinti? Kuwa binti au mwanamke ni hali dini/tusi siku hizi?
 
Inawezekana maana hapa dar wapo mashoga wengi tu na wametoka mikoani sio pwani na kule znz wapo wengi pia mjini na vijiji vyenye mahoteli ya kitalii...nungwi.kiwengwa nk
Kuna mashoga mpaka wa kimasai na wametokea bara sijui inakuaje hii??
Hao wa Masai wameharibiwa na waitaliano, sababu ya tamaa ya hela
 
Ushoga umeshamiri Vatican, ulaya na Marekani tena unalindwa na Sheria. Wale MABWANA walifika huko?
Ushoga unalindwa na sharia sababu ni moja tuu, waxungu wame elew kwamba ushoga ni asili ya mtu na binadamu wengi ni mashoga ila wana ficha , wakamua kuwalinda hao wanaofanya ushoga .Urabuni na kwingine kote ushoga upo na una endelea kama kawida kisiri sirina mara nyingine nyngi wazi wazi
 
Ushoga unalindwa na sharia sababu ni moja tuu, waxungu wame elew kwamba ushoga ni asili ya mtu na binadamu wengi ni mashoga ila wana ficha , wakamua kuwalinda hao wanaofanya ushoga .Urabuni na kwingine kote ushoga upo na una endelea kama kawida kisiri sirina mara nyingine nyngi wazi wazi
Asante, hulka ni hulka Tu, kama, uongo, uchawi, dharau, ni Tabia tu...
 
Kwa utafiti wangu watu wengi ni mashoga, ila suala ni kuelewa hiki na chokifana au ninavyo jisikia ni ushoga? hilo ndilo swali la msingi.Mikoani hata viijini mashg wapo nikiwa na maana wale wanaume wanaowafanya wanaume wenzao ,hao wapo wengi sana ila hawajijui kama ni wanahisia za mapenzi kwa wanaume wenzao .unweza kuta mwanaume katoka kijijini na anaonekana kama hajui lolote , akini ale utakapo mwazisha masuala haya ana fanya kama mzoefu. suala ni media ndio zinazo wafanya watu watambue kwamba ni mashoga na pia media ndio zinazo wapa wazo kwamba ni sio jambo la ajabu tena na kwamba watu wana fanya haya kama kawaida tuu .
 
Back
Top Bottom