Asante, hulka ni hulka Tu, kama, uongo, uchawi, dharau, ni Tabia tu...
Sija kupata vizuri ila ushoga ni hali ya kuzaliwa nayo na wengi hujijua toka watoto na huficha hizo hisia na sio suala kuiga ,anaye onekana kaiga ni kwamba ni shoga teari ila kapata kitu cha kumchochea kufanya kile kitu anacho kitamani siku zote.
Kuna aina mbili ya haya masuala ya kishoga, kuna shoga yule aliye zaliwa hivyo na kuna yule anaye amua kufanya vitedo vya kishoga wakati sio shoga.
Huyu anye fanya vitendo hivi ni yule anaye fanya kwa sababu ya pesa , kwa mfano , kijana mzuri amabye yeye ni mwanaume aliye kamilika, kutokana na kuvutia kwake , ana toke mwanaume ambaye ni shoga ana mtongoza , kwa kawida huyu mwnaume hata kubali, kinacho fanyika ni mwanaume huyo kutumia pesa , huyo kijana ana wea kua n matatizo ya kiuchumi au ni kijana anayependa mambo mazuri na uwezo hana, hapo ndioo mtego humuingi na kujistukia kafanya vitendo vya ushoga, baada ya hapo na weza endeleza kwa vile hakuona ni tabu siku ya kwanza kufanya na wanaume hawa mara nyingi wao ndio wanao ingiliwa , kwa sababu kumuingilia mwanaume mwenake hawezi sababu hawezi kupata hisia. Kwenye hili fano mzuri ule usemi wa kwamba ma bouncer wengi hawana marinda, sababu wengi wao ni straight hivyo husindw waingilia wale mashoga wanao ingiliw ana kuingilia , huvyo hupandishiwa dau na kujikuta wanaingiliwa wao na baada ya hapo wanaona kama ni suala la kisiri basi wataendeel na suala hilo , lakini katika asilia yao wao so mashoga ila wana fanya vitendo vya kishoga .
Wanao bakia wote ni mashoga, mwanaume yoyote anaye weza simamisha umme kwa mwanaume mwenzake ni shoga , sasa hawa ndio wako wengi nao ,hawa ao wame gawanyika katika makundi mawili.
Kundi la kwanza ni wale mashoga ambao wao wanafanya na wtu wajinsia zao , hawa ndio wale mashoga 100% ambao pia wapo huingiliwa na wengi huingilia na huingiliwa hawa ndio wanao julikana sana.
Kundi la pili ni wale ambao hufanya mapenzi na jinsia zote yani wanaume na wanawake ,kundi hili ndio nao kubwa sana na ndio ambazo lina pinga ushoga ,sababu kubwa ya kuoinga ushoga ni kwamba wao wana weza chagua walale na nani , mfano , kama yuko kwenye jamii ambayo ni kali sana kw avitendo vya kishoga wao huweza amua sitaki kuwa shoga nataka kuwa straight , hivyo huweza cha vitenda hivyo na huw wakali sana wakiona vitendo hivyo sababu kubwa ni kwamba , kama wao wameacha ingawa bado wana tamani na kuendelea kufanya mapenzi na jijzia nyingine kwa nini wewe ushindwe bila kutambua kwamba wako mashoga ambao hawan hisia kabisa na jinsia nyingine aidi ya jinsia zao
katika hitimisho ni kwamba, haki ya ushoga kukithiri sio kuiga ni kwamba watu wanapewa information za kutosha kupitia media kwamba ni sawa kuwa ulivyo ndio sababu kubwa ya wengi kuamua kutoka walipo jificha na kuanza fanya hayo, sio kuiga ni masuala ya kiuchumi , tamaaa na uhalisia wa mtu.