kwenye ku confirm email, inabidi nifungue wapi tena? au niende tena gmail ili niingize hiyo email mpya?
Kama email uliyofungulia Ni Gmail ingia kwenye email yako hiyo utakuta Kuna ujumbe kutoka AJIRA PORTAL unakuambia confirm unabonyeza itakuwa umemaliza.

Ukirudi portal inakuwa tayari weka email na password then endeleea na maelekezo mengine.
 
Wadau naomba msaada namna ya kufanya application ajira portal maana nimefanya imekomea asilimia 60

Academic ndio inaongeza marks ukiweka number na cheti cha form 4 itapanda sana ,vile vile NIN ,cheti cha kuzaliwa
 
Habari za leo...
Naomben msaada nimetuma maombi ajira portal lakin Kuna mistake imetokea,,wakati naweka verification certificate haijakaa sehemu husika yaani(seve verification certificate), Ila imeenda kukaver sehemu ya academic certificate nimejaribu kufuta system inagoma kwa anaeweza anisaidie tafadhari.
 
Habari za leo...
Naomben msaada nimetuma maombi ajira portal lakin Kuna mistake imetokea,,wakati naweka verification certificate haijakaa sehemu husika yaani(seve verification certificate), Ila imeenda kukaver sehemu ya academic certificate nimejaribu kufuta system inagoma kwa anaeweza anisaidie tafadhari.
 
Kwa mfano Ajira portal wametaja Bachelor degree in Biomedical Engineering lakini mimi nina Bachelor degree in biomedical and Electrical Engineering, je hapa system ya ajira itaweza kunikubalia?

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
 
Habari za leo...
Naomben msaada nimetuma maombi ajira portal lakin Kuna mistake imetokea,,wakati naweka verification certificate haijakaa sehemu husika yaani(seve verification certificate), Ila imeenda kukaver sehemu ya academic certificate nimejaribu kufuta system inagoma kwa anaeweza anisaidie tafadhari.
Hapana haiwezekani kuvitoa..unaweza kuongeza tu lakini sio kuvitoa
 
Hivi zile asilimia walizo ziweka pale ni moja ya kigezo cha mtu kuchaguliwa kufanya usaili kama atakuwa na asilimia nyingi zaidi ya wengine au ni mbwembwe tu???
Yah iko hivyo, mwenye asilimia nyingi ana nafasi kubwa ya kuitwa, especially kuanzia 80 kwenda juu. So jitahidi kujaza taarifa zako ili uwe na asilimia za kutosha, pia usisahau kusaini Application letter yako
 
Ni wazo zuri hasa hilo namba 1.
Hiyo itasaidia kupunguzia watu maswali na itaongeza uaminifu katika mchakato wa ajira.
Lakini hilo wazo namba 2 ni gumu sana kutekelezeka.
Ni ngumu sana kumpa mtu kazi kwa kuzingatia skills bila level ya elimu kwa sababu hyo itafungua mianya ya upendeleo na bado lawama zitaongezeka watu hawatoamini kwamba huyo mtu aliyechaguliwa kwa skills ni kweli alikidhi vigezo.
Habari JF!

Najua wahusika wanapitaga pitaga mara moja kusoma pumba zinazoandikwa humu JF, kuna nyingine zinakuwa nzuri wanazifanyia kazi ila nyingine ni pumba kabisa wanaziacha.

Pumba yangu ya leo baada kula kushiba, naishauri ajira portal ifanye upgrading ya website yao, itafute wataalam ambao wata design website ambayo itakuwa na mambo yafuatayo.

1. Kuonyesha mchakato wote wa ajira yaani kama application imepokelewa au rejected, idadi ya waliotuma maombi, screening yaani kama application imefanyiwa uchambuzi na kufanyiwa screening, ionyeshe kama MTU ameitwa kwenye interview au ametemwa na idadi ya walioitwa kwenye interview.

2. Portal iwe na uwezo wa ku-screen application based on skills za MTU maana kuna watu wameishia form 4 wanaskills za kufanya kazi za degree na kuna wenye degree wana uwezo wa kufanya kazi za diploma kwa sasa system inakagua ile education level uliojaza tu kama hai-match na tangazo unatemwa.

Lengo la system siku zote ni kuleta haki na usawa wala isiwe bias ndio maana kwny soka Siku hizi kuna VAR ili kuleta mambo sawa

Asanteni, kama nimetema pumba naomba mnisamehe nilishawahi ugua kichaa kidogo nikapona.
 
Back
Top Bottom