Hivi ina maana hakuna option kabisa ya kuremove information ambayo umeweka ndani ya muda mfupi? katika kujaza sehemu ya elimu nimejikuta nimeongeza cheti ambacho naona nikitoe, sasa hakuna sehemu ya kudelete bali kuna kuedit tu, nimeEdit nikajaza taarifa nyingine lakini matokeo yake system imecreate entry nyingine na ile ya mwanzo imebaki so nimekuwa nimeongeza tu cheti. Kuna namna ya kufanya? Na je,kuna watu au line za support unaweza kuwasiliana nao?

Pia kwanini kama nafasi inahitaji mtu mwenye diploma ukiapply una degree unaambiwa huwezi kuapply, hawa jamaa wanatumia logic gani?
 
Hivi ina maana hakuna option kabisa ya kuremove information ambayo umeweka ndani ya muda mfupi? katika kujaza sehemu ya elimu nimejikuta nimeongeza cheti ambacho naona nikitoe, sasa hakuna sehemu ya kudelete bali kuna kuedit tu, nimeEdit nikajaza taarifa nyingine lakini matokeo yake system imecreate entry nyingine na ile ya mwanzo imebaki so nimekuwa nimeongeza tu cheti. Kuna namna ya kufanya? na je,kuna watu au line za support unaweza kuwasiliana nao?
Pia kwanini kama nafasi inahitaji mtu mwenye diploma ukiapply una degree unaambiwa huwezi kuapply, hawa jamaa wanatumia logic gani?
Ajira partal au OTEAS?? Kama ni oteas bas inawezekana kabisa mimi mwenyewe nilikutwa na hiyo shida ila nikafanikuwa kudelete
 
Ajira portal huwez kubadili taarifa hasa ya kitaaluma na pia ukiweka namba ya nida huwez kufungua akaunt nyingine labla uwasiliane nao
 
Wapigie simu kule kwenye ajira portal kuna mahali kuna no wacheki watakusaidia
 
Wadau natumai mu-wazima, nimeupitia huu uzi wote, maana mimi pia nilikua napata shida kila nikimtumia mtu maombi ya udereva inaandika neno failed kama ilivyokua ikimtokea mdau aliyepost huu uzi (kwenye Ajira Portal, utumishi).

kwenye upande wa hii account, huyu mdau nilimjazia taarifa zake zote muhimu za elimu ya secondary, basic driving, leseni yake ya udereva nili-upload na kozi zingine alizosomea NIT nilizi-upload hapa kwenye category ya Academic qualification. kipindi cha nyuma ilikua nikimtumia maombi yanakubali lakini tangu utumishi walivyoupdate system nikituma maombi huwa yanagoma, yanaandika failed

sasa baada ya kupitia huu uzi, naombeni msaada wenu wa mawazo (1)Je nimjazie tena taarifa zake za udereva kwenye category ya professional kama wadau wanavyosema kwamba udereva ni professional labda inaweza kukubali? (2) Je haitokua shida taarifa zake kuwa kwenye category mbili za academic na professional? maana siku hizi mtu hauna access ya kuedit taarifa kwa kuzi-delete

naombeni msaada wenu, mwisho wa kutuma maombi ni date 16/09. pia nimejaribu kuwapigia simu utumishi via help desk namba zao hazipatikani.
 
Wadau natumai mu-wazima, nimeupitia huu uzi wote, maana mimi pia nilikua napata shida kila nikimtumia mtu maombi ya udereva inaandika neno failed kama ilivyokua ikimtokea mdau aliyepost huu uzi (kwenye Ajira Portal, utumishi).

kwenye upande wa hii account, huyu mdau nilimjazia taarifa zake zote muhimu za elimu ya secondary, basic driving, leseni yake ya udereva nili-upload na kozi zingine alizosomea NIT nilizi-upload hapa kwenye category ya Academic qualification. kipindi cha nyuma ilikua nikimtumia maombi yanakubali lakini tangu utumishi walivyoupdate system nikituma maombi huwa yanagoma, yanaandika failed

sasa baada ya kupitia huu uzi, naombeni msaada wenu wa mawazo (1)Je nimjazie tena taarifa zake za udereva kwenye category ya professional kama wadau wanavyosema kwamba udereva ni professional labda inaweza kukubali? (2) Je haitokua shida taarifa zake kuwa kwenye category mbili za academic na professional? maana siku hizi mtu hauna access ya kuedit taarifa kwa kuzi-delete

naombeni msaada wenu, mwisho wa kutuma maombi ni date 16/09. pia nimejaribu kuwapigia simu utumishi via help desk namba zao hazipatikani.

Piga screenshot weka hapa tuone tatizo liko wapi...!
 
Piga screenshot weka hapa tuone tatizo liko wapi...!
IMG_20200913_142036.jpg
Hii hapa mkuu, hapo kwenye category Academic Qualification
 
Sasa kiongozi hata ukiangalia hiyo screen yako kweli kuna institution inayoitwa Driving Licence mkuu...?
Kweli mkuu hapa nilikosea nilikua najiuliza driving licence nitaiweka wapi ili ionekane, ndo nikaiwekaga hapo, bahati mbaya kabla sijaifuta system wakaupdate na kuondoa option ya kufuta. Lakini kipindi cha nyumba ilikua nikituma maombi yanakubali vizuri hivi hivi.
 
Kinachotakiwa kuwepo hapo ni Basic Driving Course Certificate, Advanced Driving Course Grade II Certificate, Ordinary Level Certificate na kama amesoma Motor Vehicle Mechanics weka Certificate yake.

Leseni ya udereva haiwekwi hapo chief. Karibu.
Sawa sawa mkuu, Je leseni ya udereva inawekwa sehemu gani? Au haitakiwi kabisa kui-upload
 
Back
Top Bottom